King'amuzi cha StarTimes: Dawa yake hii hapa

King'amuzi cha StarTimes: Dawa yake hii hapa

Tugome kuzinunua mkuu...hii si inaweza kusaidia ...!?
Hakuna cha kugomea bali tuibananishe serikali hii ya vibaka watueleze kisa cha kutulangua kupitia chombo kinachoendeshwa kwa kodi yetu.
Hili ni jambo linalohitaji mjadala wa kitaifa na hii ndiyo nafasi ya wabunge wenye Tanzania moyoni kuibana serikali.
Kumbe kuhamia dijitali ulikuwa mradi wa kuwaneemesha wezi hawa?
Kupata habari ni haki ya msingi sasa iweje watanzania walazimike kulipia hata Taarifa za habari tena kupitia chombo chao wenyewe?
 
Hakuna yeyote aliyefanikiwa hadi sasa.
 
kwa ukweli mi naogopa kuchomoa na kuchomeka kwa sababu huenda nikakosa hata hii migandano...! kama kuna aliyejaribu akafanikisha aje atueleze kbla wengi hatujaingia mkenge!

mkuu anza ww kisha lete majibu hapa usiogope hilo zoezi.
 
Hakuna cha kugomea bali tuibananishe serikali hii ya vibaka watueleze kisa cha kutulangua kupitia chombo kinachoendeshwa kwa kodi yetu.
Hili ni jambo linalohitaji mjadala wa kitaifa na hii ndiyo nafasi ya wabunge wenye Tanzania moyoni kuibana serikali.
Kumbe kuhamia dijitali ulikuwa mradi wa kuwaneemesha wezi hawa?
Kupata habari ni haki ya msingi sasa iweje watanzania walazimike kulipia hata Taarifa za habari tena kupitia chombo chao wenyewe?

Mkuu inatia hasira sana, Tanzania kupata habari ni kama anasa, hii serikali ya kigaidi sana.!
 
Nalipia nyumba,umeme,maji,nauli,watoto shule,tv,ofisini makato kibao... kwa kipato gani hasa.?
nyumba 180,000/= , umeme 30,000/= , maji 60,000/= , takataka 15,000/= , bili ya maziwa ya mtoto 40,000/= usafiri 90,000/= king'amuzi 18,000/=
jumla 433,000/=
bado chakula,
hapo kwenye msosi usiseme kabisaaaa.....
 
nyumba 180,000/= , umeme 30,000/= , maji 60,000/= , takataka 15,000/= , bili ya maziwa ya mtoto 40,000/= usafiri 90,000/= king'amuzi 18,000/=
jumla 433,000/=
bado chakula,
hapo kwenye msosi usiseme kabisaaaa.....

mkuu zumbemkuu sisi watanzania ni majasiri tena tunaroho ya paka, hatuna tofauti na kuku wa kienyeji tunajihangaikia wenyewe.!
 
Last edited by a moderator:
mkuu zumbemkuu sisi watanzania ni majasiri tena tunaroho ya paka, hatuna tofauti na kuku wa kienyeji tunajihangaikia wenyewe.!
hahahaha!
mkuu hapo chukulia kuwa umeajiriwa na serikali hii ya JK, tena kazi yenyewe ya kufuta ujinga wenzio (ualimu wa msingi au sekondari) mshahara ukiwa mkubwa sana ni laki 5, hapo kwanini usiwaone NMB wakupe mkopo ununue bodaboda uwaache 60% na zero zao.
 
hahahaha!
mkuu hapo chukulia kuwa umeajiriwa na serikali hii ya JK, tena kazi yenyewe ya kufuta ujinga wenzio (ualimu wa msingi au sekondari) mshahara ukiwa mkubwa sana ni laki 5, hapo kwanini usiwaone NMB wakupe mkopo ununue bodaboda uwaache 60% na zero zao.

mkuu mimi mwenyewe binafsi matumizi yangu kwa mwezi ni zaidi ya laki tatu ukija kuweka ya familia napata kichaa....ila tujitaidi kubadili utawala tuikatae ccm kwa nguvu na imami zetu zote.!
 
mkuu mimi mwenyewe binafsi matumizi yangu kwa mwezi ni zaidi ya laki tatu ukija kuweka ya familia napata kichaa....ila tujitaidi kubadili utawala tuikatae ccm kwa nguvu na imami zetu zote.!
mimi na familia yangu tulishaikataa kitambo, hata baba mzazi alishatuambia kuwa anayeishabikia CCM kaja na mama yake....
 
mimi na familia yangu tulishaikataa kitambo, hata baba mzazi alishatuambia kuwa anayeishabikia CCM kaja na mama yake....

Ha..ha..ha...
Naiona mada kesi inakunyemelea kwa karibu sana mkuu.. Ukivunja mbavu zangu kwa kicheko,naapa sikuachii..Hiyo ni mada kesi... Tehe tehe tehe..
 
Ha..ha..ha...
Naiona mada kesi inakunyemelea kwa karibu sana mkuu.. Ukivunja mbavu zangu kwa kicheko,naapa sikuachii..Hiyo ni mada kesi... Tehe tehe tehe..
pole mkuu.
 
mimi na familia yangu tulishaikataa kitambo, hata baba mzazi alishat


uambia kuwa anayeishabikia CCM kaja na mama yake....[/QUOTEtujitaidi kila mtu kwa nafasi yake ashawishi zaidi ya watu kumi tutaweza]...Tanzania ni yetu sote ngoja tuipaganie.
 
dah inatia hasira ila niemchekaje,mi nilishaacha kutumia huo -----
 
HA ha haha.....Kwamba Tuna sifa ya kuishi kule watakakotupwa walioshindikana duniani....
Pole jamaa we achana nao...Jikaze kiume una uwezo wa kiushi JEHANUM!!!!
 
Kwa watumiaji wa king'amuzi cha StarTimes.

Picha kugandamana, sauti ya kigugumizi dawa yake hii hapa:-

Washa king'amuzi chako fungua mlango wa kuingizia card upo mkono wa kulia.

Chomoa kadi bila kuzima, kisha ingiza card tena.

Kwa muda wa dakika tatu utaona kugandamana kunazidi na sauti za ajabu ajabu.

Baada ya dakika tano, muonekano wa vipindi utaonekana vizuri sana, sauti za watangazaji zitasikika vizuri.

Nina zaidi ya wiki moja ninafurahia vipindi vya TV bila picha kugandamana tena na sauti za kueleweka kusikika.

Kuganda kwa picha na kukosekana kwa sauti kunasababishwa na wewe kuwepo katika eneo ambalo signal hazifiki vizuri.
Nimekuwa nikitumia kisimbuzi/decoder hiyo tangu zilipoingia bongo kipindi kile cha kombe la dunia. Mwanzoni wakt ule wa kombe la dunia nilikuwa naishi eneo flani hapa dar ambapo signal zilikuwa hafifu. lakini yapata miaka mitatu niko naishi eneo jingine, signal ziko poa. Napata signal quality ya 67% na signal strength ya 41%, tena natumia antena ya kutengeza mwenyewe, ya kizushi.
Unachotakiwa ni kuelekeza antena yako kule kisarawe kama uko dar.
Sishauri uchomoe smart kadi wakt dikoda iko on, waweza kuiharibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom