King'amuzi cha StarTimes: Dawa yake hii hapa

King'amuzi cha StarTimes: Dawa yake hii hapa

Hivi wanajamii hii hoja ni kweli au ndo changa la macho. Nyie watu wa startimes hampo huku ili mtoe maelezo. Mie ya kwangu imezima kabisa hata local channel hamna.
 
napata chanel kumi na tano tu,sijui nifanyeje kupata zote...kila nikiwaza kuhusu utawala huu napata hasira,hivi kwa nini wanatuuzia habari. Unanua king'amuzu tena unaanza kulipia hili swala linahitaji mjadala wa kitaifa.!

hilo jambo la muhimu, wanatuuzia haki zetu za kimsing et. This not fair et.
 
Ha ha ha.. Mkuu tutaweza unasema haya matatizo tutayamaliza kwa kuwaondoa hao sawa.. Lakini kwa wakati huu bado niko Jehannum.. naendelea kupigwa jua.. kunyimwa mahitaji yangu ya muhimu.. kutokuwa na uhakika wa kufika kesho.. kupangiwa cha kufanya na mbaya zaidi kunyimwa uhuru wangu ambao ni haki yangu ya msingi kabisa..

Nimekusoma mkuu! Ila bado sio jehanamu! Labda ufananishe na jehanamu nyingine lakini siyo ile aliyoandaliwa shetani
 
Lakini hawa jamaa (Startimes) wanaweza kuturuka kwenye suala la uhuru wa kupata habari kwa mujibu wa katiba. Kwa sababu katiba hiyo haijafafanua kama ni kupata habari kwa kununua au bure..! Maan unaweza kuwa na uhuru wa kupata habari kwa kununua na pia unaweza kuwa na uhuru wa kupata habari bila kununua habari hiyo...! Rejea vyanzo vingine vya habari za serikali kama magazeti...jamani si uhuru tulionao hapo ni ama kutonunua ama kununua habari iliyomo kwenye magazeti !?

Labda kabla mchakato wa katiba mpya haujafungwa basi hili nalo katiba mpya itabidi iandaliwe kwa namna ya kulitolea ufafanuzi wa kina jambo hili.

mkuu uko sahihi katiba yetu sio ya viraka tena ilifanyie kazi hili kwa uwazi ,pia tunakoelekea jamii itaona mambo mengi tupo kwenye mfumo wa ubepari ,ujamaa wetu tumeutupa hili linatugharimu hivi sasa ,hakuna kiongozi aliye tayari kueleza jamii mfumo huu wa ubepari unafanyaje kazi ,tunaona wakitekeleza kwa vitendo ,unaona ujio wa startimes,enzi za ujamaa ingekuwaje ingekubaliwa ifanye kazi zake hapa nchini
 
kama kingamuzi chako kinaonyesha local channel tu inabidi ukalipie ili upate matangazo mengine vizuri, kama unapata channel chache inabidi ulipie zaidi, mfano kuna channel za sh. 9000/- kwa mwezi, 18,000/- na elfu 36. hapo utapata channel zote zinazotolewa na star times, kama picha zinakwama kwama ujue king'amuzi chako kina shida, inabidi ukipeleke wakakigaue kwenye ofisi za star times, wakigundua ni kibovu wanakupa kingine bure kama kipo ndani ya guarantee, kama hakipo ndani ya guarantee unalipia sh.15,000/- unapewa kipya na kitakuwa kinaonyesha vizuri bila mkwamo...au unaweza kushauriwa kutumia antena ya nje.
 
achana na statyms,weka dish free channeks kibao,na hakuna mambo ya kulipia wala cjui picha kuganda!
 
mh wakazi wa dsm waoga hao utaona kila mtu busy siku ya maandamano
 
Nina rafiki yangu alipata ajali hali yake ilikuwa mbaya na alifikia hali ya kutokuweza kupumua vizuri, nilishangazwa na uamuzi wa madakitari walichukuwa kifaa kimoja na kugandamiza kifuani mwake, rafiki yangu ghafula akashituka na akawa anapumua vizuri. Baadaye niliwauliza ni dawa gani waliyomwekea rafiki yangu iliyobadilisha hali ya afya yake kuimarika kwa haraka namna ile, waliniambia kile kifaa kina umeme, na kitu walichofanya ni kushitua mwili wake kwa umeme ndiyo maana afya yake iliimarika kwa kasi ya ajabu.

King'amuzi changu kilikuwa ICU nilipokumbuka utabibu aliofanyiwa rafiki yangu, niliamua kukishitua kwa shoti ya umeme na kweli kilishituka na kutoka ICU hadi sebuleni kila mtu akikifurahia hata sasa.

Nawashauri kampuni ya StarTime washitue ving'amuzi vyao kwa shoti ya umeme kabla ya kuvipeleka sokoni.
aisss kumbe hii ndo philosophy behind!!!
 
Nina rafiki yangu alipata ajali hali yake ilikuwa mbaya na alifikia hali ya kutokuweza kupumua vizuri, nilishangazwa na uamuzi wa madakitari walichukuwa kifaa kimoja na kugandamiza kifuani mwake, rafiki yangu ghafula akashituka na akawa anapumua vizuri. Baadaye niliwauliza ni dawa gani waliyomwekea rafiki yangu iliyobadilisha hali ya afya yake kuimarika kwa haraka namna ile, waliniambia kile kifaa kina umeme, na kitu walichofanya ni kushitua mwili wake kwa umeme ndiyo maana afya yake iliimarika kwa kasi ya ajabu.

King'amuzi changu kilikuwa ICU nilipokumbuka utabibu aliofanyiwa rafiki yangu, niliamua kukishitua kwa shoti ya umeme na kweli kilishituka na kutoka ICU hadi sebuleni kila mtu akikifurahia hata sasa.

Nawashauri kampuni ya StarTime washitue ving'amuzi vyao kwa shoti ya umeme kabla ya kuvipeleka sokoni.

mmmh! Jf kiboko,ushauri gani zaidi ya huu,umetisha mkuu....!
 
Hii mbinu yako inakuwa-supported na principle ipi ya Microwave Transmission and Reception?

Nilidharau hizo warning, kwa sababu nilikuwa siwezi kuona chochote hadi nilipochomoa kadi na kuingiza upya, kama bado inaleta shida jaribu kusugua kadi kwa kitambaa kisafi kabila ya kuchomeka tena, vumbi nalo linachangia picha kugandamana.
 
Asante, natanguliza ahsante, sasa mie wa huku mchamba wima hilo ndio tatizo langu ,na signal strengh ina range 50-65,signal quality ndio usiseme 10-30++.halafu kuna warning katika card kwamba usiichomoe au kuiingiza wakati decoder ipo ON.Je unadhani hakutatokea madhara yeyote though I have nothing to loose as the 'thing' just gives me headaches.
Ahsante Asante!

Hata mimi namshangaa jamaa anayependekeza uchomoe card wakati kingamzi kiko on!!. Nani kasema kingamzi kina option za HOT SWAPPING!! Hivi anajua kinacho sababisha picha kugandaganda? Picha/signal za dijitali ziko highly directional - lakini Wachina nadhani mwezi ujao watafungua transmitter ya Makongo ili isaidie kuondoa tatizo hilo sungu - Wachina awashindwi kitu mkuu! Hisipo kuwa nawakumbusha wawahuzie wateja vingamzi vya DVB-T2 Standard; wasilete mambo ya ujanja janja, wana misuli ya kusambaza Africa, Merikani ya kasikazini na kusini, Ulaya nk sasa kwac nini hawataki kuhuza vingamzi vyenye standard inayo kubaliki kimataifa kwa sasa hivi na kwa nini TCRA haivalii njuga swala hili mbona Uganda waliwakomalia Wachina mpaka waka-comply kwa kuangiza vingamzi vyenye standard inayokubalika hapa kwetu kuna nini lakini - TCRA wajali sana RAIA siyo kupoteza muda kwenye makongamano yasiyo na tija na kuwaogopa WACHINA.
 
Ninachoamini hawa star times hawako interest na local tv isipokuwa TBC. Kinachotokea kingamuzi kikiisha channell nyingine za local zinapoteza signal isipokuwa TBC inakuwa clear wala haikatikati.
So its better for Star times to be smart otherwise competation is on the way inaboa hadi tunakumbuka analogia tuliyoizoea




Kwa watumiaji wa king'amuzi cha StarTimes.

Picha kugandamana, sauti ya kigugumizi dawa yake hii hapa:-

Washa king'amuzi chako fungua mlango wa kuingizia card upo mkono wa kulia.

Chomoa kadi bila kuzima, kisha ingiza card tena.

Kwa muda wa dakika tatu utaona kugandamana kunazidi na sauti za ajabu ajabu.

Baada ya dakika tano, muonekano wa vipindi utaonekana vizuri sana, sauti za watangazaji zitasikika vizuri.

Nina zaidi ya wiki moja ninafurahia vipindi vya TV bila picha kugandamana tena na sauti za kueleweka kusikika.
 
Ninachoamini startimes hawako interested na channel nyingine za local isipokukuwa TBC pekee. kingamuzi kikiisha channel nyingine zinakata zinakuwa erratic na loose signal but for TBC its clear, why this? their some subbotagge against other local channel au tueleweje...!? star times wanapaswa kuwa smart unless otherwise tutahama as competation is on the way.
 
mi najuta kununua kununua king'amuzi cha startimes. remote mbovu inajiongeza sauti ama kujipunguza remote inataka timing na nguvu kuchagua program
Kwa watumiaji wa king'amuzi cha StarTimes.

Picha kugandamana, sauti ya kigugumizi dawa yake hii hapa:-

Washa king'amuzi chako fungua mlango wa kuingizia card upo mkono wa kulia.

Chomoa kadi bila kuzima, kisha ingiza card tena.

Kwa muda wa dakika tatu utaona kugandamana kunazidi na sauti za ajabu ajabu.

Baada ya dakika tano, muonekano wa vipindi utaonekana vizuri sana, sauti za watangazaji zitasikika vizuri.

Nina zaidi ya wiki moja ninafurahia vipindi vya TV bila picha kugandamana tena na sauti za kueleweka kusikika.
 
Nilidharau hizo warning, kwa sababu nilikuwa siwezi kuona chochote hadi nilipochomoa kadi na kuingiza upya, kama bado inaleta shida jaribu kusugua kadi kwa kitambaa kisafi kabila ya kuchomeka tena, vumbi nalo linachangia picha kugandamana.

Au asugue hiyo kadi kwenye mchanga inaweza kuwa imeingia kutu
 
mimi nilikepeleka kanisani kumwagiwa maji ya baraka sasa hivi kinapiga mzigo fresh kabisa na wala antenna sijaelekeza kisarawe:A S angel:
 
kwa ukweli mi naogopa kuchomoa na kuchomeka kwa sababu huenda nikakosa hata hii migandano...! kama kuna aliyejaribu akafanikisha aje atueleze kbla wengi hatujaingia mkenge!

hata mimi naogopa ngoja na mimi nisikilizie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom