Ni sheria gani inamtaka mtumishi/mwanasiasa awe na kinga yakutoshitakiwa?
Kwa Siku 100 kuna mambo mengi yanajidhihirisha kikiuka sheria kwa kigezo cha kinga.
Kama kodi nyingi zinatumika kulisha mahabusu na wafungwa wengi wasio na hatia lipo tatizo kubwa kama nchi kuanza kufundisha elimu ya mlipa kodi kwa wanafunzi wasio wazalishaji huku nguvu kazi tunawalisha kwa kodi za matumizi ya simu.
KINGA IONDOLEWE KWA VIONGOZI wawe wanashitakiwa kama RAIA wengine
Kwa Siku 100 kuna mambo mengi yanajidhihirisha kikiuka sheria kwa kigezo cha kinga.
Kama kodi nyingi zinatumika kulisha mahabusu na wafungwa wengi wasio na hatia lipo tatizo kubwa kama nchi kuanza kufundisha elimu ya mlipa kodi kwa wanafunzi wasio wazalishaji huku nguvu kazi tunawalisha kwa kodi za matumizi ya simu.
KINGA IONDOLEWE KWA VIONGOZI wawe wanashitakiwa kama RAIA wengine