Kinara vurugu za kidini huyu hapa

Kinara vurugu za kidini huyu hapa

Status
Not open for further replies.
Donge nono? kweli polisi wameshindwa kazi au wanaona haya na wanataka kujiondolea lawama wakimkamata... Wakimpata zomba tu atawasaidia kukamatwa huyu Sheikh Ubwabwa
 
Last edited by a moderator:
Donge nono? kweli polisi wameshindwa kazi au wanaona haya na wanataka kujiondolea lawama wakimkamata... Wakimpata zomba tu atawasaidia kukamatwa huyu Sheikh Ubwabwa

Wala msiwe na shaka sisi tunatoa ushirikiano wote kwa polisi, tunaamini kwenye polisi jamii na shirikishi.

Habari nilizonazo kwa sasa ni mgeni wa Sheikh Arfi kule mpanda.
 
Siwashukuru polisi kwa kumtangaza huyo shetani kwamba ni kinara wa vurugu za kidini hapa nchini ila nataka kuanza kuwaelewa kwamba sasa walau wanadalili za kuamka kwa kumwagiwa maji na kupigwa nyundo kwenye magoti...Lakini wamejiuliza yafuatayo kuhusu hawa jamaa wawili?
1.SHEHE BUNGO 2.UST.ILUNGA
Amechochea vurugu ili ponda awekewe dhamana Anahimiza mapadri kuuwawa bila sababu zozote
Amechoma kanisa kwa msahafu kukojolewa Amesababisha mauaji ya viongozi wa kikristo wawili
Amesababisha hofu Dar Es Salaam Wafuasi wake wanaendelea kuwawinda wakristo mpaka sasa
Amechochea wafuasi wa ponda kuvamia kiwanja Anasababifu hofu kwa taifa zima.
Anatafutwa kwakuwa hana makazi maalumu Anaishi Mwanza mtaa wa bugarika nyumba no.157

Lengo ni kuonyesha jinsi gani polisi wasivyokuwa makini na walivo na Double standard kwa wahalifu wa aina moja.
Shehe Ilunga ni mtu anayetokea kijiji kimoja na mke wa rais hivyo wanaukaribu na yeye hutumia ukaribu huu kuamini kwamba hawezi kukamatwa maana anamaslahi na mwenyeji wa Ikulu na ndicho kinachofanyika mpaka sasa kwamba ukilinganisha makosa huyu anayetafutwa Shehe Bungo na huyu Ilunga utagundua kwamba Ilunga in zaidi ya haini kwa mahubiri yake na Kanda nyingi za uchochezi zilizosambaa karibu nchi nzima.Kama wangekuwa wapo huru Ilunga alipaswa kukamatwa mapema sana kabla ya Bungo maana hata anapoishi panafahamika,ni maarufu kuliko Bungo anapatikana kirahisi kuliko...Polisi hamtamaliza uhalifu kwa Kumwacha Huyu Gaidi ambaye ameanzisha Chuo cha Ugaidi pale Ukerewe.

Kunya anye kuku akinya bata ameharisha.Hizo chuki zenu zitawaponza.Sasa hivi waislamu wameamka na wanazijua haki zao kweli.Mnachofanya ni kutapatapa kama mgonjwa kitandani.After all inshallah 2015 uchaguzi tuwaadhibu wote wanaotunyanyasa.
 
siku ya Ijumaa na siku ambazo kesi ya Sheikh Ponda inapotajwa

kwanii hizo kesi za kidini zitajwe Ijumaa tu basi vyombo vya sheria vina ajenda ya siri kwa waislamu na kesi zinazowahusu waislamu.
 
Farida Ramadhani -Mwandishi wa makala/taarifa hii anawaita waisalam wenzie "eti wanaojiita wenye msimamamo mkali", pole farida heri wewe mwenye msimamao poa,lkn ujue utaja jibu kwa kuwaita majina mabaya waislam wenzako. Mwisho wa siku utaendelea kuumia kama wanavyoumia waislam wenye msimamo mkali madamu nawe ni muislam japo mwenye msimamo poa.
 
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Jeshi la Polisi limekuwa likimsaka kwa muda mrefu, lakini halijafanikiwa kumtia mbaroni kutokana na staili yake ya kuishi kwani hana makazi maalumu. “Shekh huyo pia anahusika kushawishi wafuasi wa Katibu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu Ponda Issa Ponda kuandamana kila siku ya Ijumaa ili kushinikiza mahakama itoe dhamana kwa Ponda ambaye kwa sasa yuko rumande akikabiliwa na kesi ya uchochezi,” kilisema chanzo chetu cha habari.


Hapo kwenye RED...............Hakyanani hii ni hatari sana... yaani huyu Shekh anaishi kama Osama bin Laden... ina maana kwamba kuna wakati Intelegensia nayo inagonga mwamba... pamoja na maasi yote aliyoyafanya bado wanasema hawajafanikiwa kumnasa... kama panya... lakini QWatanzania wanakumbuka wale jamaa waliofanya mauaji ya kamanda kule Mwanza (R. I. P.) Kamanda Barlow.... lakini watuhumiwa walikamatwa muda mfupi.......
 
hawajatoa picha yake?

hawajatoa mkuu

kweli polisi imeishiwa mbinu

tatizo la polisi tanzania huwa wanawajua halafu wanawaacha ili wapewe mshiko lakini wakibanwa sana na raia huwa wanawakamata shame on you policemen..

Sasa bila picha tutamjuaje huyu Sheikh???

Mkuu hata mtume wetu hana picha!

DSC01340-423x600.jpg
 
Kwa mtazamo wangu,serikali inapaswa kukaa na pande mbili yaani Waislam na wakristo na kuzijadili hoja au kero za pande zote mbili kwa pamoja.

Haya matukio ya mauaji yanayotokea inaweza kuwa ni moja katika athari za kero hizo au ikawa ni sababu mojawapo kwani sababu hasa bado haijafahamika!

Suala la kutoaa kauli kuwa au mathalani ni UGAIDI kabla ya uchunguzi binafsi naona si kitu cha sawa na kinaweza endeleza sintofahamu nyingi zaidi!Ni vyeme serikali ikalitazama hili jambo kwa umakini kabisa!

Serikali imelifumbia macho hili swala hadi likatufikisha hapa tulipo,Mchungaji amechinjwa,mapadri wameuwawa na makanisa yamechomwa moto.wanaoanzisha vurugu za kidini kwa ajili ya ujira kidogo wanaopewa baadhi ya waislam wasokuwa na elimu ya kutosha eti kwa sababu wanatafuta usawa,ni usawa upi huo?serikali inapasa kutoa kichapo cha mbwa mwizi kama alivyofanya rais aliyetangulia na watu walifyata mkia(wakimbizi uchwara)
Jiulize wakristo wamewanyima haki gani,watu wamepiga book bana wewe endelea kumpeleka mtoto wako madrasa na utarajie miujiza badala ya kumpeleka mtoto shule akabukua na aondoe matongotongo hayo
 
Kuna kitu mimi huwa kinanishangaza kwa baadhi ya waislam yaani mhalifu akibandikwa jina la ugaidi lazima watang'aka...kuna kitu kimejificha hapa! utakuta mhalifu hajajulikana kama ni mrefu au mfupi, mweupe au mweusi, mbantu au sio mbantu, mkristo au muislam lakini akibandikwa lebo ya ugaidi lazima waislam waje juu, hata wakati fulani bungeni walipokuwa wanajadili muswada wa ugaidi tuliona ni wabunge wenye imani ya kiislam ndo walikuwa wanapinga!! hapa kuna kitu hapa... tatizo liko wapi? kwani is there any link between islam and terrorism? ugaidi ni uhalifu na anayeutetea ugaidi ni mhalifu pia!
 
Toa mbinu zako na wewe.

ili uajuliwe kwenye vyombo vinavyoshughulikia usalama ni lazima upitie mafunzo husika, kama polisi wanalia lia kuomba msaada huku kwa wanainchi mara fbi ni kuwa wanatakiwa training upya hawana mbinu.
 
Huyo bungo si anakaa buguruni mnyamani.. Mbna polisi wanafiki hivyo!?
 
Kwa mtazamo wangu,serikali inapaswa kukaa na pande mbili yaani Waislam na wakristo na kuzijadili hoja au kero za pande zote mbili kwa pamoja.

Haya matukio ya mauaji yanayotokea inaweza kuwa ni moja katika athari za kero hizo au ikawa ni sababu mojawapo kwani sababu hasa bado haijafahamika!

Suala la kutoaa kauli kuwa au mathalani ni UGAIDI kabla ya uchunguzi binafsi naona si kitu cha sawa na kinaweza endeleza sintofahamu nyingi zaidi!Ni vyeme serikali ikalitazama hili jambo kwa umakini kabisa!

Serikali imelifumbia macho hili swala hadi likatufikisha hapa tulipo,Mchungaji amechinjwa,mapadri wameuwawa na makanisa yamechomwa moto.wanaoanzisha vurugu za kidini kwa ajili ya ujira kidogo wanaopewa baadhi ya waislam wasokuwa na elimu ya kutosha eti kwa sababu wanatafuta usawa,ni usawa upi huo?serikali inapasa kutoa kichapo cha mbwa mwizi kama alivyofanya rais aliyetangulia na watu walifyata mkia(wakimbizi uchwara)
Jiulize wakristo wamewanyima haki gani,watu wamepiga book bana wewe endelea kumpeleka mtoto wako madrasa na utarajie miujiza badala ya kumpeleka mtoto shule akabukua na aondoe matongotongo hayo

Bado mauwaji ya muembechai na ya kule pemba hukuorodhesha au wakiristo pekee ndio wenye roho
 
wewe waziri mkuu nafasi yako katika nchi ya tanzania ni ipi, mimi nashindwa kuelewa manake upo kama haupo.Hatuja kusikia ukisema cho chote kuhusu mambo yanayotokea kama unaona huielewi serikali yako basi achia ngazi
 
Siwashukuru polisi kwa kumtangaza huyo shetani kwamba ni kinara wa vurugu za kidini hapa nchini ila nataka kuanza kuwaelewa kwamba sasa walau wanadalili za kuamka kwa kumwagiwa maji na kupigwa nyundo kwenye magoti...Lakini wamejiuliza yafuatayo kuhusu hawa jamaa wawili?
1.SHEHE BUNGO 2.UST.ILUNGA
Amechochea vurugu ili ponda awekewe dhamana Anahimiza mapadri kuuwawa bila sababu zozote
Amechoma kanisa kwa msahafu kukojolewa Amesababisha mauaji ya viongozi wa kikristo wawili
Amesababisha hofu Dar Es Salaam Wafuasi wake wanaendelea kuwawinda wakristo mpaka sasa
Amechochea wafuasi wa ponda kuvamia kiwanja Anasababifu hofu kwa taifa zima.
Anatafutwa kwakuwa hana makazi maalumu Anaishi Mwanza mtaa wa bugarika nyumba no.157

Lengo ni kuonyesha jinsi gani polisi wasivyokuwa makini na walivo na Double standard kwa wahalifu wa aina moja.
Shehe Ilunga ni mtu anayetokea kijiji kimoja na mke wa rais hivyo wanaukaribu na yeye hutumia ukaribu huu kuamini kwamba hawezi kukamatwa maana anamaslahi na mwenyeji wa Ikulu na ndicho kinachofanyika mpaka sasa kwamba ukilinganisha makosa huyu anayetafutwa Shehe Bungo na huyu Ilunga utagundua kwamba Ilunga in zaidi ya haini kwa mahubiri yake na Kanda nyingi za uchochezi zilizosambaa karibu nchi nzima.Kama wangekuwa wapo huru Ilunga alipaswa kukamatwa mapema sana kabla ya Bungo maana hata anapoishi panafahamika,ni maarufu kuliko Bungo anapatikana kirahisi kuliko...Polisi hamtamaliza uhalifu kwa Kumwacha Huyu Gaidi ambaye ameanzisha Chuo cha Ugaidi pale Ukerewe.[/QUOTE]

Chuo hiki cha Ugaidi kinafahamika kwa jina gani mkuu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom