Ni kweli huyu Januari Makamba ni janga. Siajaelewa huyu bwana mdogo anaongea kama nani hasa? Je, ni kama Campaign Manager wa Magufuli, Naibu Waziri wa Mawasiliano au Mbunge mteule wa Bumbuli au msemaji wa CCM?
Wako wapi watu wazito ndani ya CCM kina Kinana, Mangula au Vuvuzela wao a.k.a Nepi Nauye? CCM inaonekana hamjitambui, hamjielewi, mmelewa madaraka na kwa kweli mnahitaji ushauri nasaha! Bila hivo hii nchi mnataka kuitumbukiza kwenye janga la kitaifa!