Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,645
Usaliti ni neno ambalo nalisikia sana kwenye kile chama cha arusha na moshi.Watatezi wa wananchi wanaitwa wasaliti.CCM hoiiii.....
Usaliti ni neno ambalo nalisikia sana kwenye kile chama cha arusha na moshi.Watatezi wa wananchi wanaitwa wasaliti.CCM hoiiii.....
usaliti ni neno ambalo nalisikia sana kwenye kile chama cha arusha na moshi.
Kama mimi ninavyokupuuza wewe watu wazima kuamua kupika na kuuza gongo ndiyo mchezo gani huo.
Usaliti ni neno ambalo nalisikia sana kwenye kile chama cha arusha na moshi.
kula????? yasiri???? na serikali tatu haviepukiki!!!
Kinana wachukulie hatua za kinidhamu kama wewe kidume!Simiyu Yetu
Hili neno linatumiwa na viongozi dhaifu wasioruhusu changamoto...
Chadema ni chama cha Kilaghai.
Mkuu samahani,hivi wewe ni mwanachama wa C.C.M au A.C.T. Nimetanguliza samahani nikiamini me na wewe hatuna utani. Nataka kujua tu upande wako kati ya vyama hivyo viwili.Chama kama ccm ndiyo uzuri wake hutoa uhuru wa watu kujieleza na kuonesha tofauti zao hadhara lakini kwa yale jamaa mauza gongo yale angefukuzwa mtu hapa.
Kama mimi ninavyokupuuza wewe watu wazima kuamua kupika na kuuza gongo ndiyo mchezo gani huo.
ingekuwa chadema wangefukuzwa chini ya sheria mpya ya Usaliti
ingekuwa chadema wangefukuzwa chini ya sheria mpya ya Usaliti