Kinana: Wasaliti CCM wako kumi

Kinana: Wasaliti CCM wako kumi

Vukuzia mbali hizo takataka zinazochafua mwili zikasalitiane zenyewe huko mbali
Chama kama ccm ndiyo uzuri wake hutoa uhuru wa watu kujieleza na kuonesha tofauti zao hadhara lakini kwa yale jamaa mauza gongo yale angefukuzwa mtu hapa.
 
Chama kama ccm ndiyo uzuri wake hutoa uhuru wa watu kujieleza na kuonesha tofauti zao hadhara lakini kwa yale jamaa mauza gongo yale angefukuzwa mtu hapa.

Simiyu yetu, kwanza kabisa mimi si ccm wala si chadema au chama chochote,ila ningependa fikra huru, hivyo fikra huru ni kura ya SIRI.Ama hata hiyo demokrasia hapo hamna, munalazimisha kura iwe ya wazi hata kwa wajumbe wenu ambao hawana mitazamo ya NEC, hapo ni kuwafunga midomo watu.
 
Mzee wa ndovu hata aseme vipi huwa na puuza tu kwani naamini kadri siku zinavyokwenda anazidi kutupunguzia ndovu wetu kwenye hifadhi!
Jangili hana wema kwa mnyama yoyote yule!

Natamani Kinana apite nikiwa quarter guard ili nimmalize kwa risasi nyingi kwa jinsi anavyonikera na ujangili wake.
 
Chama cha shetani bwana, Watu makini na watenda haki wanaitwa wasaliti
 
Mkuu samahani,hivi wewe ni mwanachama wa C.C.M au A.C.T. Nimetanguliza samahani nikiamini me na wewe hatuna utani. Nataka kujua tu upande wako kati ya vyama hivyo viwili.
Mkuu mbona wanachama wa ccm ndio wanachama wa act!...act ni password ya ccm kwaajili ya uchaguzi wa 2015
 
Kinana acha uongo bhana! Kama wasaliti ni kumi tu, kwa nini basi mlikuwa mnaogopa kura ya siri, hao kumi tu wangepunguza nini katika kura?????
 
Propaganda za Kinana bhana!!!!! Kinana si ndiyo yule aliyeanza Ukatibu Mkuu wa CCM kwa kusema,"Kuanzia sasa Viongozi wa CCM waitwe Ndugu kama zamani, wasiitwe Waheshimiwa." Kinana, agizo hilo limeishia wapi, mbona hulizungumzii tena? Unafikiri sisi tumesahau?
 
Bado naendelea kumtafakari Kinana! Kinana aliyewataja Mawaziri mizigo, akaishia kufungwa mdomo na dhaifu!
 
Kinana yule aliyefanya maigizo ya kupanda treni ya TAZARA kurudi Dar! Mbona ulipokwenda Dodoma, safari hii, hujapanda treni?????? Kinana bhanaaaaaaaaaa!!!!!!!!
 
Nina hisi taswira ya kuitisha katika maelezo hayo ya Kinana! Anawalenga kuwatisha wenye msimamo tofauti na chama, kwanza kwa kuwaeleza kuwa wako wachache na pili kwamba anawafahamu kwa majina. Ni vizuri vyama vya siasa na vikundi vingine vyote ndani ya bunge la katiba, pamoja na kuweka misimamo yao wawachie wanachama/wana vikundi uhuru wa kuongozwa na dhamira zao bahada ya kusikiliza hoja za Kila upande. Hapo ndiyo tutaupata katiba ya wananchi.
 
Back
Top Bottom