ben van mike
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 467
- 190
Hata Kama kinana anauza pembe za ndovu ujue jina lake halipo moja kwa moja Hapa msigwa ana mtihani mahakamani wanataka kuona ushahidi sio nasikia Hapa kazi ipo
kichekesho cha mwakaameharibiwa tabia?!!!! Kwa hiyo sasa hivi ana tabia mbovu kutokana na msigwa?!!!
Peleka mahakamani huyu mchungaji kanjanja.
nia yake si kumfunga msigwa bali anataka haya mambo ya ujangili yasiendelee kuongelewa. mia
peleka mahakamani huyu mchungaji kanjanja.
Well done kinana,
Hizi sifa za "kitoto" za hawa wabunge wetu lazima ziwatokee puani.
Kinana ni mtu makini sana na kwa muda aliotafakari na wanasheria wake lazima MCHUNGAJI wa chadema atajuta.
Kwa vyovyote majangili hawapendwi na mtu hasa muuaji wa tembo wetu.ha ha ha mimi naona kinana hapo ndo amechemka kwa sababu nacho jua jopo la mawakili nguri wa chadema watakuja na ushahidi wa kufa mtu...na kufumua mengi juu ya huyu katibu mkuu wa ccm alafu kitu kingine kumbe alikuwa na mchakato wa kuingiza wazungu wengine tena nchini kulima mboga? nacho waomba chadema na msigwa muda ndo huu wa kuisambaratisha ccm na katibu wake na mengi yawekwe hadhalani ili watanzania tujue huu wizi unafanyweje....
Halafu anajiita alhaji kumbe jangili mzoefu na kwa kudhibitisha huyu jamaa ni janga anataka fidia na RIBA wakati dini hairuhusu!!!Alhaji Kinana ni Mwizi/Jangili na ni Haramia
kinana usipambane na damu changa.......hujawa kuwa na heshima ata siku moja sema tulikuwa tunakusitili tu.