Kinana amburuza Msigwa kortini

Kinana amburuza Msigwa kortini

Yaani siku utakapojishitukia na udini wako basi nafikiri utakuwa na michango mizuri humu JF. Udini unakusumbua sana. Ungekuwa na binti basi naomba mwenyezi Mungu aolewe na Mkristu, hata kama ukikataa, ili ujue udini hausaidii.

Mwambie ajiulize km angeweza kuwa hata level ya huyu dogo angetushawishi kuwa anajua afanyacho ktk huo unazi wake:
Son of Hamas :: Tyndale House Publishers
pia aangalie hizi clips :

6 Million Muslims convert to Christianity - Al-Jazeerah ! - YouTube

Son of Hamas leader converts to Christianity says Islam is Collapsing(Part 4 of 6) - YouTube
 
Finger Print pamoja na Footprints....

Huyu Kinana hatoki mwaka huu, tutampeleka mahakama ya Afrika Mashariki kama maCCM hayataki kumpeleka mahakamani kwa udhalimu wake na wasomali wenzie kwenye Tembo

Mkuu unajua hilo wazo lilipotolewa nilidharau,lakini baada ya kutafakari nikaona mantiki yake. Kwanza hawa tembo ni wetu wote,kwa maana Tembo aliyeko Tanzania kesho unaweza mkuta Kenya nk. Sasa kama waKenya nao wameshapata habari kuwa tembo wao wanakwisha kwa sababu wakija kutembea Tanzania wanakutana na muuaji wao ambaye kwa vile ana madaraka huku Tanzania hawezi kushtakiwa,kwa nini kesi hiyo wao kama waathirika tusiwape ushirikiano na ushahidi ili wamfungulie kesi kwenye mahakama ya EA?
Ndugu zetu wa Kenya, tembo wenu wakija wanakwisha huku chukueni hatua sisi huku huyu jamaa hatumuwezi hadi mwaka 2016 na kwa kasi aliyo nayo hadi wakati huo tembo wenu watakuwa wamekwisha maana hamuwezi kuzuia tembo kuvuka mpaka kuja huku maeneo hatari
 
Si kwa sababu ya mawakili waliobobea wa CHADEMA tu,bali pia Mungu aliye upande wa wanyonge wanaotetewa
 
Well done kinana,

Hizi sifa za "kitoto" za hawa wabunge wetu lazima ziwatokee puani.

Kinana ni mtu makini sana na kwa muda aliotafakari na wanasheria wake lazima MCHUNGAJI wa chadema atajuta.

huo umakini umemsaidia kusafirisha meno ya Tembo mpaka china.
 
kujichamba kwingi kuondoka na kinyesi. Msigwa avuliwe ubunge na kufungwa walau miezi 3. Ignorance of law............
 
Well done kinana,

Hizi sifa za "kitoto" za hawa wabunge wetu lazima ziwatokee puani.

Kinana ni mtu makini sana na kwa muda aliotafakari na wanasheria wake lazima MCHUNGAJI wa chadema atajuta.

Unamtete JANGILI kweli Tanzania ni chi ya ajabu......kinana angemsikiliza kagasheki juzi asingeendelea na uamuzi wake
 
Duh
Siasa at its peak.
CCM vs CHADEMA. Mpambano mkali ila historia inasemaje wanapokutanika mafahari hawa wawili?
Tehe tehe
 
mzee kinana hapa utakua umepotea njia kabisaa nenda tena kakae chini na hao waliokushauri kufanya hayo uliyokusudia kufanya kwasababu mwisho wa siku mambo yatakapo kuendea kombo wao watakua wanakula bata kama kawaida mzee wangu
 
Ameharibiwa tabia?!!!! Kwa hiyo sasa hivi ana tabia mbovu kutokana na Msigwa?!!!

Yawezekana sasa anatembea u...i wa mnyama, atakuwa hayawani, kwa sasa muogopeni mpaka mahakama itakapo mrejeshea tabia yake nzuri kama alikuwa nayo.
 
by ritz peleka mahakamani huyu mchungaji kanjanja.

r.i.p kinana wewe ni jangili mkubwa uwezi kukimbia kivuli chako mawazri wengi wa maliasili waliopta ulkorofshana nao kutokana na kuzuia shehena zako za pembe za ndovu bandarini
 
Biashara ya bogaboga safi sana Kinana, itaajiri watanzania wengi, italipa kodi. Biashara ya meno siyo nzuri kwani hutoa ajira kwa watu wachache na huwa hailipi kodi. 'Mhudumu naomba NDOVU BARIDI, huelewi nini sasa mpaka niseme KINANA BARIDI mwenzio naogopa kupelekwa mahakamani milioni 350 mlala hoi nazitowa wapi?'
 
MWIZI UNAMCHUKULIA KAMA MWIZI vile vile JANGILI NAE UNAMCHUKULIA KAMA JANGILI,yanayoendelea katika nchi hii tunayaona na tunayasikia upo WAKATI jambo linalosubiriwa hapa ni ile kutimia tu.
 

Aidha alizitoa bungeni wakati akiwasilisha hotuba ya Kambi ya Upinzani katika Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii mwaka 2013/2014. Katika hati ya madai, Kinana anadai kuwa kutokana na tuhuma hizo ameharibiwa tabia yake, uaminifu, hadhi yake kitaaluma na weledi na kumfanya achukiwe na kudharauliwa katika jamii.


Kwa kweli mi nitaomba ufafanuzi wa hili la tabia hadi kieleweke...
Kwanza ni tabia zipi zimeharibika kwa sasa...
 
Hiyo ndo siasa mara nani amefanya hv nani amefanya vile haya bana yetu macho
 
Kelele nyingi za nini ..msingwa si alisema anasubili kwa hamu kinana afungue kesi ..sasa kesi imefunguliwa...ngoja tusubili huo ushahidi wa msingwa ambao unaonyesha kinana ndie jangiri...mahakamini sio matakao kila mtu anayo mahakamani unatakiwa ushahidi sio kelele za majukwaani.....
 
Dunia nzima mwizi hapendi kabisa kuitwa mwizi! Utasababisha abadili tabia...
 
Kinana kafungua kesi. Msigwa sawa na twende tukakutane huko! Acheni tuone nani ataumbuka.........
 
Back
Top Bottom