rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Nimeisikia hiyo magazetini.
Kuna wadau hapa majamvini walimwahidi msigwa kwamba wana ushahidi wa ziada dhidi ya Kinana, ambapo waliahidi kumpa Msigwa endapo Kinana angethubutu kwenda mahakamani.
Haya sasa, ni wakti muafaka kumpa huo ushahidi msigwa.
Mimi ni mmojawao'kuna watu walitumiwa na kinana na wasomali wenzake wakati akiwa waziri na mbunge kusafirisha meno ya tembo kupeleka wanakojua wenyewe'kwa ujumla kinana amekosea sana kufungua kesi hiyo inaonyesha ni jinsi gani anavyopotoshwa na washauri wake'hii kesi kama Msigwa na wapenda mabadiliko wakiamua kukomaa italeta pigo kubwa sana kwa ccm