Kinana alazwa Dubai, hali yake si nzuri

Kinana alazwa Dubai, hali yake si nzuri

Nyinyi ni waongo kabisa, Kinana yuko Dar Tangu jmamosi, leo kaonekana town. yuko mzima kabisa hakuugua hata kichwa. Anajitayarisha kwa ziara ya Kilimanjaro na Arusha, Ambapo atahitimisha kazi zake kwa kishindo kikubwa

Labda Kinana wa Msoga..lakini Kinana wa Meno ya Tembo ni mgonjwa hoi bin taaban
 
Mie naumwa nahangaika mwenyewe na hospital za kijijini zisizo na madawa halafu yeye yuko hospital Dubai! Mungu fanya inavyoona inafaa iwe kumponya au kumhifadhi amen.
 
Labda Kinana wa Msoga..lakini Kinana wa Meno ya Tembo ni mgonjwa hoi bin taaban

zako ni chuki za kipumbavu na hazitakusaidia, ukitaka uhakika basi hebu kesho katembelee lumumba, kama hatamuona. Hivyo kama hizi pumba zenu zina kaukweli hata chembe gazeti la Tanzania Daima si lingechapisha hizo habari front page.
 
Asiamini sana Hospital za Nje bora aende kwao Somalia kwa Usalama zaidi... nadhani alienda likizo Somalia baada ya kazi kubwa ya kuwahadaa Watanganyika...
 
No more to build on there,and we,since we are not the one admitted,turn to our affairs.
 
alipojifanya kutembea kavaa kandambili, kuungana na wakulia wa mpunga, kuingia Lushoto kwa baisikeli nk ili kuwahadaa wananchi kuwa ni mwenzao, kama kweli anaumwa ni kwa nini asiende akaungana nao kweye hospitali zao badala ya kwenda Dubai!?
Sawa sote ni binadamu na hakuna ajuaye lililo mbele yake lakini kumuombea mtu kama huyu apone haraka inakuwa ngumu!
 
na afe....hawa ndio wanafanya maishha yetu yanakuwa magumu maradufu
 
My land is Zanzibar ,land I love,where I was born,always in my heart,so warm here in my heart.
 
Arudishwe akalazwe kule Namtumbo manake alikua anapiga picha akibeba tofali za udongo na kula wali maharage akitaka kutuaminisha yuko sawa na walalahoi wa nchi hii! Kwa kweli maCCM mi nayaombea mabaya yote mungu anaweza kuyapa
 
Back
Top Bottom