Kinadada Wote Piteni Hapa

Kinadada Wote Piteni Hapa

Extraordinary, maswali haya hapa na
majibu yawekwe hapa.

Hivi nyie [wahusika]haiwezekani kuonekana warembo pasipo kuweka hayo madubwasha yenu? Kila unaemwona nywele za bandia, kucha za bandia, kope za bandia, make up ndo kabisaa mpaka ndugu zenu wanawasahau. Kuongea Mzungu si Mzungu, Mswahili si Mswahili... yaani kila kitu ni artificial, hivi hamjishtukii? Au ndo tuseme mmekwishapoteza mwelekeo??? ...
 
Last edited by a moderator:
Munkari nakupenda jamani basi tu.....lazima nianze kuku-PM
8HPob4H7W2pVgAAAAASUVORK5CYII=
kwa mimi Price ndo ananipa shida mbaya hadi nishawahi kuiota hiyo avator yake! ila kama na yeye ni mzuri hivyo shamba kuuzwa ni lazima!
cc; Price
 
Kinachomkera ni hivyo vya bandia wanavyotumia ndugu zake, sababu vinawabadilisha mpaka anawasahau.
mkumbuke hivyo vyote ni biashara watu wamebuni wa pate pato mki wananga si mtaua mitaji ya watu walio wekeza,tu waache wapendeze dada zetu.
 
Implication ya kutumia vya bandia kama nywele, kope, kucha... ni kwamba hujaridhika na uumbaji wa aliyekuumba, yaani unaona kama alikosea...ni tusi kubwa sana unalomtukana aliyekuumba.

Hakosei. Amka!!!

Alinena vyema aliyesema:
Kazi yake Mola haina makosa

Uumbaji pia ni kazi yake.
 
mi nilijua utatuambia mdhara ya hivyo vitu ilituche tukielewa mdhara...kwan kunabadhi ya vitu hata wewe unafanya vinawakela watu lakin hawakwambii kwasababu unauhuru wa kufanya hivyooo...kila mtu analifestyle yake ya peke yake huwezi kumbadilisha kirahis namna hiyo labda mpenzi wako....mtazamoo tuuu...
 
mi nilijua utatuambia mdhara ya hivyo vitu ilituche tukielewa mdhara...kwan kunabadhi ya vitu hata wewe unafanya vinawakela watu lakin hawakwambii kwasababu unauhuru wa kufanya hivyooo...kila mtu analifestyle yake ya peke yake huwezi kumbadilisha kirahis namna hiyo labda mpenzi wako....mtazamoo tuuu...

Side effects: kupata makunyanz mapema, magonjwa ya ngozi, na majeraha kushindwa kupona kwa wale wanaojichubua... Pia gharama ambazo ni unnecessary.. Wengine wanajiuza just for that reason.. U don't need to be artificial to look beautiful, & mwanaume mwenye akili tulivu huwez kumpata kwa njia iyo.. Atakutamani na atakutumia na kukuacha coz huna cha zaidi kinachomfanya akupende.. Ebu wadada tujarib kuwa wackivu wakati mwingine.. No beauty in artificial & remember we are beautiful in nature coz we are the real images..
 
Back
Top Bottom