Kinadada Wote Piteni Hapa

Kinadada Wote Piteni Hapa

comfix

Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
59
Reaction score
11
Hivi nyie haiwezekani kuonekana warembo pasipo kuweka hayo madubwasha yenu? Kila unaemwona nywele za bandia, kucha za bandia, kope za bandia, make up ndo kabisaa mpaka ndugu zenu wanawasahau, kuongea mzungu si mzungu mswahili si mswahili yaani kila kitu ni artificial hivi hamjishtukii? au ndo tuseme mmekwishapoteza mwelekeo?

Sijui mtanijibu nini.

Ngoja niwasikilize.
 
Mnaboa sana, dadaz wote wanaojitambua hawana hizo mavitu.
 
wewe utakuwa ubahili unakusumbua tu
wanawake wakiweka kitu roho inapenda wewe yanakunyimaje raha
yale yale pilipili iko shamba yakuwashia nini
 
Hivi nyie haiwezekani kuonekana warembo pasipo kuweka hayo madubwasha yenu? kila unaemwona nywele za bandia, kucha za bandia, kope za bandia, make up ndo kabisaa mpaka ndugu zenu wanawasahau, kuongea mzungu si mzungu mswahili si mswahili yaani kila kitu ni artificial hivi hamjishtukii? au ndo tuseme mmekwishapoteza mwelekeo. Sijui mtanijibu nini... ngoja niwasikilize.

huyo mwanamke atakuwa made in china..
pageantgirl-296x300.jpg
fake-tan.jpg
 
Hahahaa! Evelyn salt njoo utoe majibu huku
 
Ther's somethng wrong on u sio bure, wahi mapema kamuone daktari
 
ila some time wakina dada wanajiwekea mavitu ya bandia sana mwilini....inachukiza tena badala ya kupendeza
 
Hivi nyie haiwezekani kuonekana warembo pasipo kuweka hayo madubwasha yenu? kila unaemwona nywele za bandia, kucha za bandia, kope za bandia, make up ndo kabisaa mpaka ndugu zenu wanawasahau, kuongea mzungu si mzungu mswahili si mswahili yaani kila kitu ni artificial hivi hamjishtukii? au ndo tuseme mmekwishapoteza mwelekeo. Sijui mtanijibu nini... ngoja niwasikilize.

Kuna mabinti wanaweka mak up hiyooo...!!! mpaka hatari sasa badala ya kupendeza wanachukiza....!!! wanakuwa wanaonekana kama midoli au katuni fulani.
 
mambo wanayofanya wengine wewe unakereka nini? kwani wamevunja sheria za nchi? dume zima kufatilia kope na nywele bandia za wanawake.
 
Back
Top Bottom