Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,553
Niko poa aisee miss u big time!Haya bana..Hope uko poa
Niko poa aisee miss u big time!Haya bana..Hope uko poa
Thanks..Nikisema mm utasema nimekuiga..Ngoja nikae kimyaNiko poa aisee miss u big time!
Nikipata nauli nitakuja mjomba ! Ila hili swala tuliangalie kimakini mbona na nyie mkitakavwachumba mnatoa masharti? Mara awe chura, awe tyubu lait, awe chini ya miaka 30 ! Hamwoni kama ni droo game? Wote vichomiThanks..Nikisema mm utasema nimekuiga..Ngoja nikae kimya
Nakusubiri ujue...Nikipata nauli nitakuja mjomba ! Ila hili swala tuliangalie kimakini mbona na nyie mkitakavwachumba mnatoa masharti? Mara awe chura, awe tyubu lait, awe chini ya miaka 30 ! Hamwoni kama ni droo game? Wote vichomi
Hata sio vibaya kabisa dada yangu.Kwani vibaya mtu kuridhisha moyo wake?
Kwa kuwa mpiga vizinga na mtoza ushuru/kodi huh????Kwani vibaya mtu kuridhisha moyo wake?
HeheKina dada zetu mniwie radhi.Naona wengi sana hamjielewi siku hizi,licha tu ya kutoielewa dunia
Nimeona mara kadhaa hata humu mtu anataka mume,anaanza kuweka vigezo kama vya TCU!Mara awe na cheti cha form six,shahada ya kwanza sijui yenye GPA isiyopugua 3.5!Masharti mengi kama mtu anaomba kazi ikulu,mara mweusi mrefu,mwembamba awe na kifua kama cha John Cena,Mpole lakini mcheshi,awe na dini kama yangu,asiwe mnywaji wa pombe na umri usizidi miaka 30!Asiwe na kibamia!
Na kibaya zaidi utaambiwa uwe na kazi ya kueleweka na akaunti mbili mbili kila benki!wewe binti umekuwa TRA?Unataka kuwa mtoza ushuru?
Unaweza ukampata kama wewe ni binti mrembo maana waigizaji wapo wengi,lakini kumbuka siku moja utaja jililia mwenyewe kama chizi!
Mnapenda mapenzi ya kifilipino,mapenzi ya kwenye video,mnasahau kuwa maisha ni halisi na siyo ndoto,badilikeni sasa!Mimi nawaambia kwamba "Kuwa original"mtaishi kwa furaha
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums