Usiposhiriki NCCR,TLP ACT na wengine wakishiriki na kupata viti 20 unafikiri CCM inaona kuna shida yoyote.
CCM inaweza kuamua kuwaachia viti 30 kwa makubaliano maalum, wapate ruzuku kiasi flani, wawe viongozi wa kamati waseme uchaguzi ulikuwa wa wazi, huru na wa haki unafikiri Chadema haitapata sauti ikiwa nje ya mchakato wote na nje ya bunge.
Hata kama CDM haitapata Urais, itaibiwa wabunge wengi, bado itapata kura kwa mamilioni, 3- 5milioni. Hiyo ni nguvu tosha kuliko kuwa na zero,nil, sifuri. Kisha hukushiriki.