- Thread starter
- #41
Miaka mingi wametumia wingi wa wapiga kura kwa kusema ccm walihamasika wakawapigia kura waoKwa miaka mingi wananchi wamekuwa hawapigi kura kwa sababu hawaoni umuhumu ikiwa mshindi anajulikana ni wa kuchonga. Kimsingi tuliwachelewesha wananchi kwenye hili.
Sasa wananchi wakihamasika wasiende kupuga kura itakuwa aibu kubwa kwa ccm.
Ndio maana wanatafuta njia kuilainisha chadema.