Dawa ni kutoshiriki kabisa uchaguzi ujao kama hakuna reforms na Tume huru ya uchaguzi. CHADEMA hawapaswi kuwa baridi na moto kwa wakati mmoja #NoreformsNoelection ndio njia sahihi inayoeleweka na tayari kuna watu kwa chaguzi zote zilizopita hawakuinua mguu kwenda kupiga kura ambayo ni maigizo.
Nchimbi anajidanganya kufikiria kuwa uchaguzi hauwezi kuzuiliwa licha ya uwepo wake kuwa kikatiba. Wananchi wanaopiga kura ndio wenye hoja hiyo
CHADEMA ni watekelezaji tu na Tundu Antipas Lissu ndie yule Mussa wa kwenye Biblia na sio LAZIMA yeye ndie awe Rais, mwelekeo ni kung'oka kwa hicho chama chakavu tena dharimu.
Kuna ujinga mwingine unapenyezwa eti uchaguzi utafanyika tu hata kama CHADEMA hawatashiriki eti kuna vyama vingine....Nasema THUBUTU!
Credibility ya CCM kushinda uchaguzi inaamuliwa na chama chenye wafuasi wengi na kina angalau structure ya uongozi inayotabilika.
Hapa ACT_Wazalendo inahusika na iko upande wa wananchi. CCM ikitegemea majigambo yake ya kuwa na wanachama million sijui ngapi ya wajinga vikiwemo vyama mamluki vidogo vidogo vya mfukoni... Huwezi kuuita uchaguzi. CCM kama wana mtaji huo kwa nini wanahangaika na Lissu sasa na jana tu wameanza kupiga watu risasi na mabomu? 😲