Kinachotokea Zanzibar ni kushindwa kwa uongozi wa CCM

Watu kama kina Takashi ndo knalpotsha wenzeu!

Munganohauna manufaa yeyote kwa bara, kwa kweli wabara hati endi Kuwa na nyinyi mnakimbia uungano maana miaka 48 si lelemama. Makosa yalikwishafanyika kwasababu moja AU nyingine, and i would firmly say, this was purely inevitable at ITS formulation, usiniulize zaidi Bali kasome historia. Tunasema hapa, na tunakubali makosa yalifanyika wakati wa kui da muungano, kilichotakiwa ni uongozi imarakuurekebisha kuhakikisha unamilikiwa na watu, both bara na visiwani.

Tunachiona Sasa ni matokeo ya wajanja wachache kutumia poor leadership ya CCM kujinufaisha, wengi wanategemea more opportunities nje ya muungano. Nyinyi jidanganyeni Kuwa muungano ni tatizo, mnasahau kujiita waislamu mlioungana Shiro ya bara kudai uhuru, amini nawaambieni mji esa znz yenu nyawa Agus wakristo, na haitaishia hapo mtabaguana ninyi kwa ninyi, msisahau pia mko na rangi nyingi!

Kila la kheri katika "harakati za ukombozi wa taifa lenu"

Kwa CCM Sasa, umefika wakati wa kuweka exit strategy ili tuachane vema na ndugu zetu hawa!

Ukitaka kumkera mtanganyika ,basi mueleze ukweli. ukweli ni kitu kibaya sana.
 
Ahalan wahsalan Sheikh Takashi, Lete habari!
Awali nimtake radhi MM kwa kwenda nje ya mada na kile alichokusudia kukionyesha. Natumai utatuelewa kwasababu elimu ni bahri tunayoweza kuogelea 'kula' kona ya dunia!

Takashi unapotanguliza jazba automatically unaziba nafasi ya busara. Unajua ilimu inatueleza mbinu za mnakasha ikiwa ni pamoja na kuleta fikra,kumsikiliza mtu na kumjibu kwa vituo.
Inshaalh, niruhusu nizidurusu nukta zako kama zinavyoonekana na kadri nilivyojaaliwa

1. Sisi sote tukijua al marhum Karume alikuwa kiongozi jasiri. Siri ya uhaifu wake na anavyoangaliwa kwa jicho la husuda kaitoa Jussa. Hizbu ndiyo wanaosema Mzee aliuza nchi, na hapo Watanzania bara wakapata somo

2. Mauaji ya Karume yamefanywa na Wazanzibar wenyewe. Lakini katika kujenga uhalali wa maudhi ya muungano basi kauawa na Tanzania bara.
Vipi Karume mdogo afanye kazi na serikali iliyomuua baba yake.
Historia na wana historia wanaweza kutapika kama utawasilisha mada kama hii.

3. Taja sehemu moja tu ambayo Nyerere aliwahi kusema kujadili muungano ni kosa. Just one!

4. Aliyewasaliti Jumbe na Faki ni Maalimu Seif. Waulize wazee waliopo. Ni kwanini Marhum Abdul Wakil alimuondoa Seif

5.Maalim Seif aliwahi kusema kuhusu Zbar kujitenga na wala haamini katika muungano. Hafanyi hivyo kwa masilahi ya Zbar,la hasha! ni kwa kutaka Urais. Jukumu hilo kampa Jussa ambaye ameongeza hadi chembe za udini. Si unakumbuka uchaguzi mdogo alisema nini?

6. Mzanzibar wa kawaida anayeishi Msasani, Kigamboni Ilala na kwingineko pamoja na yule mvuvi muungano kwao ni kitu kizuri. Mzanzibar wa kawaida anayedhani neema inakuja toka nchi nyingine muungano ni mbaya. Wazanzibar wa kawaida si hawa wanaoishi bara takribani nusu ya nchi? Au wa kawaida ni lazima awe UAMSHO

7. Vibaraka ni nani? Salimin Amour, Salim Ahmed, Mwinyi Snr, Mwinyi Jr, Jumbe, Karume,Nahodha,Gharibu au ni hawa wanaaoishi Kigamboni, Ilala, Mabawa, Msasani wakitafuta riziki zao?

8.Mkuu wa polisi na polisi ni Wazanzibar hili la wabara ni kutafut excuse. Commissioner mkuu wa polisi, RPC na OCD ni wazanzibar

9. Endapo waislam wanaunganishwa na dini wala si utaifa, kwanini Mzanzibar akataliwe kuishi Jeddah. Kwanini mtu aende Hijra au Umra kwa Visa? Lakini pia kama hawaunganishwi na siasa, CCM, CUF,JAHAZ vilianzishwa na akina nani?
Kwanini asiwepo Mufti basi! Au sultan ndiye anayeweza kuwaunganisha waislam tena?

10. 'Mwisho' utakuwaje mwema wakati mumekamata viberiti na petrol kama jadi yenu.
Hivi takashi huoni uislam unakataza maasi na kutenda kama wanavyotenda ni kumhalifu mwenyezi mungu?
UAMSHO ni mashahidi wa maneno yangu, soma taarifa yao.

Hoja ya MM kama umeielewa ni kuwa, wabunge wa CCM kutoka Zanzibar, mawaziri kama akina nahodha, waliofaidika na mfumo wa muungano kama Salim Ahmed, Mwinyi, Karume, Hamad wamekaa kimya! Nyuma ya pazia wanasema turekebishe mambo, huoni tatizo hapo? Je walipenda muungano kwa kuamini au kwa masilahi?
Kwanini wasijitoe wazi kama Jussa na Maalim Seif tunaojua hawataki muungano?
Tulia na uangalie mada ya MM kuna hoja nzito, utazielewa ukitanguliza ufahamu na kulaani shaitwani jazba

Mr. Muabudu Nyerere,
Tatizo lenu kubwa ni ile dhana mliyojipachika ama kupachikwa na yule Mungu wenu kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika. Hivi vitu haviongelewi kwa wazi kwa sasa hivi ila ni project maalum ambayo mnaifanyia kazi. Kila mzanzibari anaelewa hivyo.

Baadhi ya wakati hata viongozi wenu wanaponyokwa na maneno kwa kutamka hadharani kama Zanzibar sio nchi. Kumsakama Maalim Seif au Jussa hii haitawasadia kitu ,in the long term ...Kuwa na chama cha siasa chenye mtazamo toufauti na ule wenu nyinyi hii ilitakiwa iwe jambo zuri hata kwenu nyinyi.

Maalim Seif na Jussa au CUF kwa ujumla ,wanawakilisha mawazo ya wanzanzibari na watantzania walio wengi vile vile. Sio kila analolisema Jussa ,huwa anafanya kwa maslahi yake binafsi. Jussa ni mwakilishi wa mji mkongwe na anawakilisha mawazo ya wanajimbo na wazanzibari kwa ujumla.

Kuibuka kwa UAMSHO , hii ni kushindwa kwa watawala . Kwavile walijenga dhana ya kwamba kuendelea kuwakandamiza watu wanadai haki zao ,mwisho watasahau hizo haki. Lakini kumbe ni kinyume chake. Sasa kuna mpango wa kukifuta Uamsho na hili ni kosa jengine kubwa watawala wanataka kulifanya.

At least, hawa Uamsho kwa sasa hivi wanafanya mikutano ya hadhara na wanatangaza machungu na malalamiko ya wazanzibari kuhusu muungano hadharani. Ilikuwa busara haya malalamiko yafanyiwe kazi. Kama kweli ipo nia njema katika muungano. Lakini tanajua kuwa hili halitawezekana kwa sababu nia yenu sio Muungano bali ni kuitwaa Zanzibar.

Sasa mtu kama mimi pamoja na kwamba mzee wangu mmoja ana asili ya Tanganyika, nakosa imani na muungano. Niliamini serikali mbili mwanzo, baada ya kero zisizo kwisha za Muungano nikaamini katika serikali tatu. Sasa hivi najikuta nikiamini kila nchi iwe kama ilivyokuwa kabla ya Muungano. Na haya ni mawazo ya wazanzibari walio wengi hivi sasa.

Sasa tulidai katika marekebisho ya katiba kuwa na mjadala wa uwazi kuhusu Muungano . Jubu mlilotuletea Muungano usijadiliwe, Muungano usiguswe sasa tujadili nini? Baadae mkae kuwalaumu wanzanzibari wakorofi kazi yao kuchoma moto nk. Ukorofi mnaufanya nyinyi na lawama tutarudisha huko huko.

Karume aliuwawa na watanganyika kwa kutumia mzanzibari. Hii ni kawaida katika masuala ya kijasusi sio kitu kigeni. Kumdhuru mtu sio lazima ufanye wewe mwenyewe. DR, Omar vile vile aliuwawa na watanganyika ndio mnaita sasa "kukolimba". Na hii mkotayari kumfanyia mtu yeyote labda awe kibaraka wenu.

Tunakumbuka vizuri yale mauwaji mliyoyafanya Pemba ndio nikakueleza juu ya hao mapolisi walio letwa kutoka Tanganyika. Lakini mara hii hali haitakuwa rahisi kama kipindi kile. Hapa kuna watanganyika wengi vile vile na kwa sasahivi kila mtu anapata heshima kama raia mwengine.

Nyerere ilieleza mara nyingi tu, kuwa kujadili muungano ni kosa la jinai...sikujua kama hili ni jambo kubwa kwako wewe...ila natafuta sound bite yake ni kuwekee.

Uislamu anakataza maasi na unahubiri amani muda wote... Lakini inapo kuja haki yako basi uislamu unahimiza muislamu au wailslamu waitete na kuilinda haki yao. Kwa hali yeyote ile. Mzazibari hadai sehemu iliypo Tanganyika iwe Zanzibar. Mzanzibari anadai haki ya kuwa na Taifa huru la Zanzibar katika ardhi ya Zanzibar. Kiislamu haki hii tunayo na kisheria za kidunia haki hii vile vile tunayo.

Itachukua muda gani kufanikisha hili ? Hii mungu mwenyewe ndio anajua. Lakini mimi kama mzanzibari na muislamu basi sina budi kutowa mchango wangu kwa hali na mali ili kufanikisha ukombozi wa Taifa la Zanzibar.
 
Mr. Muabudu Nyerere,
Tatizo lenu kubwa ni ile dhana mliyojipachika ama kupachikwa na yule Mungu wenu kuwa Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika. Hivi vitu haviongelewi kwa wazi kwa sasa hivi ila ni project maalum ambayo mnaifanyia kazi. Kila mzanzibari anaelewa hivyo.

Baadhi ya wakati hata viongozi wenu wanaponyokwa na maneno kwa kutamka hadharani kama Zanzibar sio nchi. Kumsakama Maalim Seif au Jussa hii haitawasadia kitu ,in long the long term ...Kuwa na chama cha siasa chenye mtazamo toufauti na ule wenu nyinyi hii ilitakiwa iwe jambo zuri hata kwenu nyinyi.

Maalim Seif na Jussa au CUF kwa ujumla ,wanawakilisha mawazo ya wanzanzibari na watantzania walio wengi vile vile. Sio kila analolisema Jussa ,huwa anafanya kwa maslahi yake binafsi. Jussa ni mwakilishi wa mji mkongwe na anawakilisha mawazo ya wanajimbo na wazanzibari kwa ujumla.

Kuibuka kwa UAMSHO , hii ni kushindwa kwa watawala . Kwavile walijenga dhana ya kwamba kuendelea kuwakandamiza watu wanadai haki zao ,mwisho watasahau hizo haki. Lakini kumbe ni kinyume chake. Sasa kuna mpango wa kukifuta Uamsho na hili ni kosa jengine kubwa watawala wanataka kulifanya.

At least, hawa Uamsho kwa sasa hivi wanafanya mikutano ya hadhara na wanatangaza machungu na malalamiko ya wazanzibari kuhusu muungano hadharani. Ilikuwa busara haya malalamiko yafanyiwe kazi. Kama kweli ipo nia njema katika muungano. Lakini tanajua kuwa hili halitawezekana kwa sababu nia yenu sio Muungano bali ni kuitwaa Zanzibar.

Sasa mtu kama mimi pamoja na kwamba mzee wangu mmoja ana asili ya Tanganyika, nakosa imani na muungano. Niliamini serikali mbili mwanzo, baada ya kero zisizo kwisha za Muungano nikaamini katika serikali tatu. Sasa hivi najikuta nikiamini kila nchi iwe kama ilivyokuwa kabla ya Muungano. Na haya ni mawazo ya wazanzibari walio wengi hivi sasa.

Sasa tulidai katika marekebisho ya katiba kuwa na mjadala wa uwazi kuhusu Muungano . Jubu mlilotuletea Muungano usijadiliwe, Muungano usiguswe sasa tujadili nini? Baadae mkae kuwalaumu wanzanzibari wakorofi kazi yao kuchoma moto nk. Ukorofi mnaufanya nyinyi na lawama tutarudisha huko huko.

Karume aliuwawa na watanganyika kwa kutumia mzanzibari. Hii ni kawaida katika masuala ya kijasusi sio kitu kigeni. Kumdhuru mtu sio lazima ufanye wewe mwenyewe. DR, Omar vile vile aliuwawa na watanganyika ndio mnaita sasa "kukolimba". Na hii mkotayari kumfanyia mtu yeyote labda awe kibaraka wenu.

Tunakumbuka vizuri yale mauwaji mliyoyafanya Pemba ndio nikakueleza juu ya hao mapolisi walio letwa kutoka Tanganyika. Lakini mara hii hali haitakuwa rahisi kama kipindi kile. Hapa kuna watanganyika wengi vile vile na kwa sasahivi kila mtu anapata heshima kama raia mwengine.

Nyerere ilieleza mara nyingi tu, kuwa kujadili muungano ni kosa la jinai...sikujua kama hili ni jambo kubwa kwako wewe...ila natafuta sound bite yake ni kuwekee.

Uislamu anakataza maasi na unahubiri amani muda wote... Lakini inapo kuja haki yako basi uislamu unahimiza muislamu au wailslamu waitete na kuilinda haki yao. Kwa hali yeyote ile. Mzazibari hadai sehemu iliypo Tanganyika iwe Zanzibar. Mzanzibari anadai haki ya kuwa na Taifa huru la Zanzibar katika ardhi ya Zanzibar. Kiislamu haki hii tunayo na kisheria za kidunia haki hii vile vile tunayo.

Itachukua muda gani kufanikisha hili ? Hii mungu mwenyewe ndio anajua. Lakini mimi kama mzanzibari na muislamu basi sina budi kutowa mchango wangu kwa hali na mali ili kufanikisha ukombozi wa Taifa la Zanzibar.

Mtwana Takashi
Vipi tayari umepata lanchi? maana naona waongea mpaka povu latoka. Nani kakwambia wabara hawataki mchukue nchi yenu? mbona hao wabunge wenu alipoongea Lisu bungeni kuhusu muungano walilia? kama mnataka nchi yenu si wangeondoka kurudi Zanzibar?
Tatizo mnasumburiwa na umasikini wa mawazo na ilimu ndogo.
 
Isije kuwa anasubiri makanisa mengi yachomwe, maandamano zaidi yatokee, watu damu imwagike halafu ndio amtume Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo y a Ndani, Makamu wake na mwisho - wakati harufu ya damu imetapakaa - atawaita wazee wa Dar..

Una chuki za wazi wewe!

Mbona hao maaskofu walisherehekea mwembe chai?
 
Mtwana Takashi
Vipi tayari umepata lanchi? maana naona waongea mpaka povu latoka. Nani kakwambia wabara hawataki mchukue nchi yenu? mbona hao wabunge wenu alipoongea Lisu bungeni kuhusu muungano walilia? kama mnataka nchi yenu si wangeondoka kurudi Zanzibar?
Tatizo mnasumburiwa na umasikini wa mawazo na ilimu ndogo.

Msukule Mluga,

Kinacho nipa faraja mimi ni kuona kila mzanzibari wa kawaida (street level) tayari amesha elewea elimu ya uraia na sasa kila mtu hapa anataka Taifa la Zanzibar ( Jamuhuri ya watu wa Zanzibar Kwanza) ...Siku itafika Zanzibar inzima itaingia mtaani hapo mpkaka kieleweke...

Its about time...
 
Hakuna ulichoongea zaidi ya chuki kwa Wazanzibari na chama cha CUF, nani kakwambia wanaokataa muungano ni wachache, si umeoona matembezi yalivokuwa na bado hayakuwa rasmi. Kwa taarifa tu licha ya wana CUF lakini zaidi ya 60% ya wana CCM Z'bar hawautaki muungano isipokuwa wanawaogopa Watanganyika kama alivosema mwakilishi Mansour Yusuf, Hamza Juma etc. Na ndio maana wamekaa kimya.

Na sasa rungu la kuitetea Z'bar limekabidhiwa UAMSHO ili kuorganised waislam wa Zenji kuitetea nchi yao.
Wacha kutupotosha Mkuu tupo macho kwelikweli kwa hili, na hamuwezi kutumia njia ya kuwagawa Wazanzibari kama ilivokuwa huko nyuma ili mpate kuwatawala.
Pia inajulikana kwamba hii serikali ya umoja wa kitaifa imekuwa ni mwiba mkali kwa Watanganyika na ndio maana mnajaribu kuzihusisha harakati za uhuru wa Z'bar na chama cha CUF ili muwagawe Wazanzibari lakini mmechelewa kwa sasa.
Inshaallah Zanzibar itakuwa huru hata kama itabidi kujitoa muhanga tuko tayari Mkuu.
Samahani kama nimekukosea kaka, lakini jaribu kuleta 7bu za msingi usilete hoja za kutugawa Wazenji.

Wazanzibari hatuzungumzii tena UCCM wala UCUF, tunachodeal nacho ni Uzanzibari kwanza ndio ukaona tumesimama kwenye Uislam zaidi (UAMSHO).

Kwa hiyo hao wakirstu wanaochomewa nyumba zao za Ibada sio wazanzibar? Sababu inakuwa rahisi sana kuona kinachotokea huko ni ushenzi wa kidini zaidi ya hiyo zanzibar mnayoipigania. tatizo langu ni hili tu, lakini naomba hata sasa hii kitu ivunjike ile ushenzi huu wa kidini ukome kuhusishwa na tanganyika.
 
Msukule Mluga,

Kinacho nipa faraja mimi ni kuona kila mzanzibari wa kawaida (street level) tayari amesha elewea elimu ya uraia na sasa kila mtu hapa anataka Taifa la Zanzibar ( Jamuhuri ya watu wa Zanzibar Kwanza) ...Siku itafika Zanzibar inzima itaingia mtaani hapo mpkaka kieleweke...Its about time...
Mufti, elimu ya uraia ndio ile ya UAMSHO? Elimu ya uraia siyo kuingia mitaani na kuchoma mali moto. Elimu ya uraia ni pamoja na kujua unadai nini, kujieleza kwanini unadai, kujitambua unataka njia gani kufikia malengo uliyojiwekea, unatumia mbinu gani. Ni elimu pana sana na siyo kuingia mitaani tu.
Hebu angalia nini kinatokea Misri nadhani utaelewa elimu ya uraia maana yake kwa ufasha. Kwa ufupi watu waliingia Tahriri square lakini asubuhi hii wanafikiria kurudi tena kwasababu waliingia tu bila kuwa na elimu ya uraia.

MM anachosema,labda nikutafunie kidogo, ni kuwa viongozi wa CCM wameshindwa kusimamia muungano. Hii haina maana watetee muungano bali wameshindwa kuwaongoza watu kufikia muafaka wa kisiasa uwe wa kuwa au kutokuwa na muungano kiasi cha kufikia viberiti na petroli( dalili za awali za ugaidi) kuchukua nafasi.

Ndiyo maana anauliza, wako wapi akina Hamad, Salim, Salimin, Karume, Nahodha,Mwinyi, Gharibu n.k katika kuongoza na kutoa elimu ya uraia? Wanasimamia nini? matumbo yao au 'interest za umma'. Ni mada iliyojengwa katika falsa na inatakiwa utulize kichwa ili kuielewa.

Lakini pia hujibu hoja kama wasivyojibu UAMSHO. Nimekuuliza 'street level' ni ya wazanzibar wapi? hawa waliopo huku bara nao ni street level na kwanini wasiingie mitaani ili tujue wana elimu ya uraia.
Hivi wewe na Ahmed Rajab mnatumia kigezo gani cha kusema 'wazanzibar wengi' ? Nusu ya wazanzibar wanaishi bara na haijatokea tukawasikia wakiingia mitaani achilia mbali mkutano wa kupinga muungano, sasa swali ni kuwa wengi ni wapi? Mnatoa wapi data za wengi.

Ustadhi, hebu jibu hoja na punguza jwazba, Zbar ipo tu na hakuna atakayeiondoa. Jikite katika mada na utueleze kwa elimu ya uraia na 'civility'. Kama kudai haki ni haki ya muislam, vipi mbona UAMSHO wamewakana wenzao waliokuwa wanatetea' haki' kwa kuchoma moto tena kwa aya.

Unajua, Uislam ni dini na unahitaji fikra na akili. Kwasababu watu wanatafsiri dini wanavyojua basi kila siku ni vurugu tu kama za Alshbaab, Alqaeeda n.k. Watu wanatafsiri 'jihad' kama mapanga wakati ukweli ni kuwa kupigania jambo kwa fikra ni jihad. Kwenda shule ni jihad,kusimamimia hoja kwa mantiki ni jihad n.k. Kwahiyo kutetea haki hakuna maana vita, petroli na viberiti, Yakhe upo hapo.
 
Una chuki za wazi wewe!

Mbona hao maaskofu walisherehekea mwembe chai?

Mnayo haki ya kudai muungano uvunjike wabara wengi hawana ubishi juu ya hilo kwani hata wao hawanufaiki nao kama wengi wanavyofikiri. Binafsi nafanya biashara na wakenya na wazanzibari. Tunasafiri pamoja tunachukua mizigo na kusafirisha pamoja na kuuza pamoja. Hofu yangu ni hatua ya kuchoma makanisa. hiyo ni mbaya kama kuna maaskofu walifurahia mauaji ya mwembe chai hao si watumishi wa Mungu na wanayo mapepo ya kutosha. Lakini sifikiri kuwa uchomaji wa makanisa una uhusiano na yaliyo fanyika mwembe chai na kama ni hivyo basi wana Uamsho wangeweka madai yao wazi badala ya kujificha nyuma ya jambo wanalolidai sasa.KATIKA HALI YOYOTE HILO LA KUCHOMA MAKANISA LIACHENI TUNA MARAFIKI WENGI ZANZIBAR TUNAPENDANA SANA HATA NIKIWAPIGIA SIMU JAMBO HILO LINAWAUDHI NA KUWASIKITISHA. ENDELEENI KUDAI HAKI YENU MKIHESHIMU DINI NYINGINE PIA HATA KAMA HAMZIPENDI.
 
Msukule Mluga,

Kinacho nipa faraja mimi ni kuona kila mzanzibari wa kawaida (street level) tayari amesha elewea elimu ya uraia na sasa kila mtu hapa anataka Taifa la Zanzibar ( Jamuhuri ya watu wa Zanzibar Kwanza) ...Siku itafika Zanzibar inzima itaingia mtaani hapo mpkaka kieleweke...

Its about time...

Mkuu, kwani hizi vurugu za weekend ni sehemu ya mkakati wa Uamsho au wazanzibar kupigania "Jamhuri ya watu wa Zanzibar? au kuna kitu sielewi?
 
Binafsi nimekuwa nikihisi pengine shinikizo la kuvunjwa kwa Muungano linapata nguvu kutokana na ushawishi kutoka kwa baadhi ya mataifa ya nje yenye maslahi na Zanzibar.
Katika ramani ya dunia, migogoro ya namna hii imeshakuwepo na nguvu ya ushawishi kutoka mataifa ya nje ndio imekuwa kichocheo namba moja ingawa huwa inajificha sana kupitia mwavuli wa vikundi au wanaharakati wa kitaifa.
 
Wazanzibar kuchoma makanisa kwa kisingizio cha kuupinga muungano ni kuwaonea wakristo au nikitendo cha kuiogopa serekali yao.kwani walio uleta muungano ni nyerere na karume ambao walikuwa ni viongozi wa serekali wakati huo makanisa haya kuhusika. kama wanaona kuna makosa yalifanyika basi waadhibiwe walio fanya makosa kuliko kumwadhibu mtu ambae hakuhusika.

Hivi hakuna wazanzibari wakristo?
naomba info hapa plse
 
Mkuu, kwani hizi vurugu za weekend ni sehemu ya mkakati wa Uamsho au wazanzibar kupigania "Jamhuri ya watu wa Zanzibar? au kuna kitu sielewi?

Uamsho hawaja waamrisha wafuasi wao kufanya vurugu...Vurugu hizi zimesababishwa na Polisi wenyewe...Uamsho walifanya maandamano mchana bila ya hata mtu mmoja kuumia au kuharibiwa mali yake. Maandamano yalirudi yalipoanzia na kumalizika salama.

Walichokifanya Polisi ni kuendelea zile mbinu za miaka ile ya kidikteta. Mmoja kati ya viongozi wa uamsho ilitiwa mbaroni akiwa bado yuko msikitini akifanya ibada ,majira ya saa moja usiku. Walimchukua kibabe na hali ile iliwashangaza wengi waliokuwepo pale msikitini.

Baada ya ya waumini kupeyana taarifa ndio wakaelekea kituo cha Polisi kutaka kujua kinacho endelea. Kama kawaida yao Polisi TZ, nguvu nyingi maarifa kidogo. Walianza kufyatua mabomu ya machozi hovyo baada ya kuona mkusanyiko unakua mkubwa.

Jamuhuri ya watu wa Zanzibar inapiganiwa katika level zote...usije ukashangaa ukaona wanajeshi ama polisi wa Zanzibar wanaungana na rai katika hili. Dalili zipo na muda sio mrefu haya yatatokea.
 
The Failure of CCM policies on the Union.
The failure of political class
Whither the Union

Comrade Zitto,

Assuming your facts to be correct, this is a very interesting analysis. If your analysis is correct, Christians, along with government and Muslims, have a huge job to do, but everyone should start at home

Politically, I would continue with my advice, attacking Christians sends different messages, all negative to the image of the group. One, some may think that the group is losing in its battle against the Union Government authorities.

Two, that attacking armless and innocent Christian worshipers could be interpreted as going for easy targets, instead of the difficult ones, like the Regional commissioners or ministers that the group threatened but, so far, let untargeted.

Thirdly, it may also be seen as a cheap way of conscripting the entire Tanzanian Muslim community into the conflict after the group failed to earn its support. In a nutshell, it is a political blunder that it should not have ventured into.

Finally, we must all keep our guard against corrupt politicians, people who for their irresistible penchant to loot our treasury are always ready to exploit our differences and foment communal misunderstandings that often translate into religious crises. Zanzibari's are more susceptible to these homo-viruses than others because religion in the region is the cheapest and most inflammable vector at their disposal. From Pemba to Unguja, the realization that we are destined to live together forever is sufficient to bring us together against the wish of many that would love to divide us for their own gain.

The government may today succeed in subduing Vuguvugu la uamsho (reinnesance movement group) by arms or negotiation. But unless we meet the above challenges, another group will prop up tomorrow, among Muslims or Christians, to face us, once more, with similar or greater challenges.



Yuko wapi Mzee Mwinyi? yuko wapi Salim? wako wapi kina Rashid Hamad? Yuko Wapi Seif? Yuko wapi Karume? Mbona wote hawa wako kimya wakati wamefurahia matunda ya Muungano huu huu? Je siyo kwamba ukimya wao ni baraka ya wazi kwa wale wanaotaka kuvunja Muungano?

Taifa letu lingekuwa na viongozi wazuri na wenye uwezo wa kujenga hoja - na kujibu hoja - hili wala lisingefikia hapa!

Dr.Salim for the first time ameniangusha sana.Kwa kutambua ni mwanazuoni wa dipomasia aliyetukuka nimekatishwa tamaa.Katika kusomea Shahada yangu ya uzamili ya uhusiano wa kimataifa na diplomasia nilikuwa namuona Dr.Salim katika maandiko niliyokuwa nasoma na hata baadhi ya maprofesa wangu nilikuwa nawasikiliza nikiwa na picha ya Dr.Salim kichwani mwangu.Ni role model wangu katika taaluma hii. Curbing sub-nationalism or atleast even taking a position ni jambo dogo kwake kama mwanazuoni wa taaluma hii ya diplomasia.

Mwanakijiji,Umeniumiza ..........
 
Comrade Zitto,

Politically, I would continue with my advice, attacking Christians sends different messages, all negative to the image of the group. One, some may think that the group is losing in its battle against the Union Government authorities.

Two, that attacking armless and innocent Christian worshipers could be interpreted as going for easy targets, instead of the difficult ones, like the Regional commissioners or ministers that the group threatened but, so far, let untargeted.

Thirdly, it may also be seen as a cheap way of conscripting the entire Tanzanian Muslim community into the conflict after the group failed to earn its support. In a nutshell, it is a political blunder that it should not have ventured into.

Finally, we must all keep our guard against corrupt politicians, people who for their irresistible penchant to loot our treasury are always ready to exploit our differences and foment communal misunderstandings that often translate into religious crises. Zanzibari's are more susceptible to these homo-viruses than others because religion in the region is the cheapest and most inflammable vector at their disposal. From Pemba to Unguja, the realization that we are destined to live together forever is sufficient to bring us together against the wish of many that would love to divide us for their own gain.

The government may today succeed in subduing Vuguvugu la uamsho (reinnesance movement group) by arms or negotiation. But unless we meet the above challenges, another group will prop up tomorrow, among Muslims or Christians, to face us, once more, with similar or greater challenges.

Dr.Salim for the first time ameniangusha sana.Kwa kutambua ni mwanazuoni wa dipomasia aliyetukuka nimekatishwa tamaa.Katika kusomea Shahada yangu ya uzamili ya uhusiano wa kimataifa na diplomasia nilikuwa namuona Dr.Salim katika maandiko niliyokuwa nasoma na hata baadhi ya maprofesa wangu nilikuwa nawasikiliza nikiwa na picha ya Dr.Salim kichwani mwangu.Ni role model wangu katika taaluma hii. Curbing sub-nationalism or atleast even taking a position ni jambo dogo kwake kama mwanazuoni wa taaluma hii ya diplomasia
Ben, I hear you!
Dr Salim as a veteran 'A list' diplomat is not suppose to keep his mouth tight.
Dr has engaged in many ethnic/religion and cross border conflicts, that he is aware of the precarious situation in his homeland.

Perhaps he is sympathizing with UAMSHO which 'represents' Islam nation in a way, or he is trying to come to terms with 2005 political trauma. Neither will offer him an excuse iota.

UAMSHO is not a religious group per se; it is a political group which has chosen religion as a conduit.

The group understands that the only cheap (and silly) tech to mobilize people toward their goal is through religion.
If you read the post by 'Takashi' it is obvious that UAMSHO is trying to rally the Muslims in mainland.

When you listen to UAMSHO mihadhara everything will be done to connect the political atmosphere with Christianity.
This could be through Nyerere or any other person of different belief.
What they don't contemplate is the fact that among first Christian mission in east Africa, Zanzibar was at the centre.

Ben, the UAMSHO did not attack churches as easy target! No thank you. They know for sure that, the simple and effective way to open the Pandora's Box is to cause mayhem between Muslims and Chriatians.
The logic behind is to garner the support from Dar es Salaam, Mombasa and Mogadishu on the notion faith is under the attack. To ignore them is a dangerous move.

The UAMSHO could have used the civil way to express their grievances. Time and again we have heard Jussa a mouth piece of CUF affront the public, attack the religion etc. The same sentiment is now insinuated through UAMSHO who have fragile and refractory members. Since we ignored Jussa we now pay the cost!
Jussa and Maalim Seif are behind Uamsho and all this fracas

The group could have used influential sympathizers within the government to make their point heard.

The influential personalities could be retired presidents from Island, chief ministers and the likes who are beneficiaries of union but never rebuke uncivilized action by Uamsho. In other words, these people support UAMSHO behind the scene.
That is the centre piece of MM's concern which I fully support.
 
The Failure of CCM policies on the Union.
The failure of political class
Whither the Union

Ben, I hear you!
Dr Salim as a veteran 'A list' diplomat is not suppose to keep his mouth tight.
Dr has engaged in many ethnic/religion and cross border conflicts, that he is aware of the precarious situation in his homeland.

Perhaps he is sympathizing with UAMSHO which 'represents' Islam nation in a way, or he is trying to come to terms with 2005 political trauma. Neither will offer him an excuse iota.

UAMSHO is not a religious group per se; it is a political group which has chosen religion as a conduit.

The group understands that the only cheap (and silly) tech to mobilize people toward their goal is through religion.
If you read the post by 'Takashi' it is obvious that UAMSHO is trying to rally the Muslims in mainland.

When you listen to UAMSHO mihadhara everything will be done to connect the political atmosphere with Christianity.
This could be through Nyerere or any other person of different belief.
What they don't contemplate is the fact that among first Christian mission in east Africa, Zanzibar was at the centre.

Ben, the UAMSHO did not attack churches as easy target! No thank you. They know for sure that, the simple and effective way to open the Pandora's Box is to cause mayhem between Muslims and Chriatians.
The logic behind is to garner the support from Dar es Salaam, Mombasa and Mogadishu on the notion faith is under the attack. To ignore them is a dangerous move.

The UAMSHO could have used the civil way to express their grievances. Time and again we have heard Jussa a mouth piece of CUF affront the public, attack the religion etc. The same sentiment is now insinuated through UAMSHO who have fragile and refractory members. Since we ignored Jussa we now pay the cost!
Jussa and Maalim Seif are behind Uamsho and all this fracas

The group could have used influential sympathizers within the government to make their point heard.

The influential personalities could be retired presidents from Island, chief ministers and the likes who are beneficiaries of union but never rebuke uncivilized action by Uamsho. In other words, these people support UAMSHO behind the scene.
That is the centre piece of MM's concern which I fully support.

Nguruvi3,

You never disappoint me...Thanks a lot bro!

They manipulate the media to make us believe it is a religious or ethnic war to mislead us into the wrong direction. What are often deemed as credible news sources can often knowingly or unknowingly be pushing political agendas and propaganda. The more Tanzanians are divided the more they have control over the mind of Tanzanians. If we can realise this fact then everything will backfire on the politicians who are behind Uamsho.

My brother well said. The ignorance of some Tanzanians shock me. They are being played around like pawns and instead of demanding some answers from their leaders, they fight and accuse each other. The real enemies, my friends, are the politicians who are only interested in stealing the money. They take care of their Tanzanan in abroad and divert attention from their loot by using a sham called "Uamsho."
 
Hakuna ulichoongea zaidi ya chuki kwa Wazanzibari na chama cha CUF, nani kakwambia wanaokataa muungano ni wachache, si umeoona matembezi yalivokuwa na bado hayakuwa rasmi. Kwa taarifa tu licha ya wana CUF lakini zaidi ya 60% ya wana CCM Z'bar hawautaki muungano isipokuwa wanawaogopa Watanganyika kama alivosema mwakilishi Mansour Yusuf, Hamza Juma etc. Na ndio maana wamekaa kimya.

Na sasa rungu la kuitetea Z'bar limekabidhiwa UAMSHO ili kuorganised waislam wa Zenji kuitetea nchi yao.
Wacha kutupotosha Mkuu tupo macho kwelikweli kwa hili, na hamuwezi kutumia njia ya kuwagawa Wazanzibari kama ilivokuwa huko nyuma ili mpate kuwatawala.
Pia inajulikana kwamba hii serikali ya umoja wa kitaifa imekuwa ni mwiba mkali kwa Watanganyika na ndio maana mnajaribu kuzihusisha harakati za uhuru wa Z'bar na chama cha CUF ili muwagawe Wazanzibari lakini mmechelewa kwa sasa.
Inshaallah Zanzibar itakuwa huru hata kama itabidi kujitoa muhanga tuko tayari Mkuu.
Samahani kama nimekukosea kaka, lakini jaribu kuleta 7bu za msingi usilete hoja za kutugawa Wazenji.

Wazanzibari hatuzungumzii tena UCCM wala UCUF, tunachodeal nacho ni Uzanzibari kwanza ndio ukaona tumesimama kwenye Uislam zaidi (UAMSHO).

Huna haja ya kuomba msamaha kama dhati ya moyo wako inakupa amani na unachokiongea...kweli tumewaona mlivyosimama kwa dhati tumeshuhudia na mungu ameshuhudia...motion bungeni kuwa wabara wafukuzwe na wasipewe kazi zanzibar,kuchoma makanisa,kuchoma bar,kutoa kauli za ubaguzi za waziwazi....na kweli mtaendelea kushikamana hadi ngozi nyeusi yote imepata mnachokihitaji...Bravo ndg...History always has a way of repeating itself...
 
MMK,
Linapofika suala la Zanzibar watu tunaogopa kusema ukweli na kuishia hitting around the bush. Hivi ni kweli wangeitwa watafiti waliohuru kuorodhesha mzigo wa muungano na maudhi yake ni Zanzibar ndio ingeonekana ina kero kuliko bara?
Suala hili kwangu ni chuki za kidini zaidi na kutaka kulinda udini wa wachache (naamini si wazanzibar wote ni madini). Hawa watu wanachuki na watu bara kwa sababu ya ukristo wao. Hawa watu wanafikiri uhuru kutokuwepo kanisa wala tamaduni zinazokinzana na uislamu.
Hivi watu wanapoandamana na kuchoma makanisa wana maana gani. Muungano ni swala la kisiasa vipi wanaopigania uhuru wa siasa waache nyumba za ibada? Vipi suala la kudai uhuru wa kisiasa waachiwe kikundi cha kiislamu? Hawa ni wahuni tu waliohamasisha wazanzibar kwa mgongo wa dini kuwaunga mkono. Wanawaaminisha wazanzibar kuwa matatizo na utamaduni usioendana na uislamu unasababishwa na watu wa Zanzibar.
Hawa ni watu wasiofikiri kwa mapana kuhusu mustakabali wa Zanzibar ikiwa muungano utavunjwa. Wanafikiri tende na halua litawateremkia tu.muungano ukivunjwa. Wanaona Muungano unawanyima kuamua na kuwa sauti kwenye utawala kama viongozi wa dini tofauti na Zanzibar ikiwa pekee yake viongozi wa dini watakavokuwa na sauti. Wanafikiri Zanzibar watapata misaada kama nchi hivo msaada huo utakuwa Tele kiasi cha kuifanya Zanzibar ulaya.
Kwa upande wa utamaduni wanachukia baa bila kufikiri kwa upana kuwa uchumi wa Zanzibar unaendeshwa kwa utalii ambao unaendekeza tamaduni za kizungu kuliko vipub vya watu wa bara.
Ukweli ni kuwa hawa watu wanacheza na moto wasioweza kuuzima. Kero za muungano ni visingizio tu lakini kikubwa wadini wanataka kutimiza adhma zao za kuchukia dini na tamaduni tofauti na zao.
 
[video=youtube_share;J_3Y2TNSTb0]http://youtu.be/J_3Y2TNSTb0[/video]
Yaliyotokea Zanzibar leo na yale yanayoendelea ni matokeo ya kushindwa kwa utawala wa CCM kutatua matatizo ya Muungano. Lakini pia ni ishara ya kushindwa kwa viongozi wetu wa kisiasa nchini kuutetea Muungano na kujenga hoja za kwanini yapaswa uendelee. Kwa muda mrefu kikundi cha watu wachache kimekuwe kikisukumiza hoja dhidi ya Muungano na baadhi yao kuzawadiwa nafasi za uongozi licha ya msimamo wao juu ya Muungano kujulikana. Hivyo siku baada ya Muungani (A Day After the Union) itakapofika siyo Wananchi wa kawaida watakaolalamikiwa bali viongozi wale ambao wameacha siku hiyo ifike. Ukimya wa Wazanzibari wenye kuamini katika Muungano kumewachochea kundi hilo dogo. Tusije kushangaa tunashuhudia kuzaliwa kwa kikundi cha "Boko Haram" cha Tanzania!!! Yote yatakuwa ni kwa sababu ya kushindwa kwa utawala wa CCM kutoa uongozi!

Hatujasikia viongozi wa CCM wakitetea Muungano kama wanavyotetea chama chao; hatujawasikia wakiwapinga anti-unionists kwa hoja zenye nguvu bali wamekuwa wakiwapa baraza huru; na hatujawaona hata viongozi wao wa serikali - walioapa kulinda Katiba ya Muungano - wakitetea Muungano huo.

Ni kana kwamba wameshakubali kisichoepukika - kufa kwa Muungano. Sasa, kama hili ndilo wanalolitaka hakuna haja ya kuumizana, kupigana mabomu, wala kushindana. Kama kuvunjika kwa Muungano ni inevitable - basi hekima inatutaka tuweke mfumo wa kuvunja Muungano huu vizuri na kwa makusudi ili mahusiano ya kidiplomasia baina ya nchi mbili yaanze. Jamani, Muungano uwepo au usikuwepo watu wa Zanzibar hawaendi popote na watu wa bara hawaendi popote. Hata watu waombee vipi Wazanzibar wataendelea kuwepo na watu wa bara wataendelea kuwepo. Sasa kama hii ni kweli basi ni kushindwa tu kwa viongozi wetu na hasa kushindwa kwa sera zao mbovu ndiko kunakofanya mgogoro huu uwe mkubwa kuliko inavyopaswa.

Tusizungushe maneno! Kuvunjika kwa Muungano kutakuja si kwa sababu ya Uamsho au vikundi vya kidini; kutakuja kwa sababu wanasiasa wetu wameshindwa!

Let me be very blunt: Ajenda ya kisiasa ya Zanzibar sasa hivi inaendeshwa na watu wa CUF; wana CCM Zanzibar wamefyata mkia. hawawezi kuwapinga CUF bila kuonekana "hawaitakii mema Zanzibar" na wale wanaoamini katika Muungano hawana ujasiri wa kuwapinga hawa wengine. CUF ndio wanaendesha siasa za Zanzibar sasa.Tumeona katika jaribio lao la kuwapiga marufuku watu wa bara kufanya kazi Zanzibar. CCM imedhoofika siyo bara tu bali hadi Zanzibar!

Ninachokiona mimi ni natokeo ya kushindwa kutoa muongozo wa namna ya kutengeneza fursa ya kufungua milango ya wananchi kufaidi juhudi zao za kuzalisha mali.Wananchi wa Zanzibar hawajapewa fursa yao ya fikra huru ya kujiendesha kwenye nyanja za siasa,uchumi na kijamii katika kuendesha maisha yao.Tumeshuhudia upangaji wa vyeo vya kuongoza nchi kwa kufuata itikadi ya mhusika bila kujali weledi wa utendaji.Hali hii ya upendeleo imechangia sana kuzorotesha morali ya watu kujitolea kushiriki katika kazi ya kujiletea maendeleo.Nimeona unajaribu kuwashangaa wazalendo na wafuasi wa fikra za Mwl Nyerere kuwa wako kimya kuhusu mwenendo wa kumomonyoa mwenendo wa Muungano,lakini umesahau kuwa sasa hivi dunia ya utandawazi imetamalaki.Wazanzibari hawana chuki na ndugu zao wa bara,wala si Seif Sharif Hamad au Jussa wanachochea hali hii.
Matukio yanayotokea sasa hivi, ni muendelezo wa ufashisti ulioasisiwa na Al qaeda kujenga chuki ya mahusiano ya tamaduni mbalimbali.Mimi natumia historia niliyofundishwa shule ya msingi Kajunjumele(Kyela) juu ya historia ya uislamu duniani.Nilifundishwa kuwa enzi ya mtume aliishi na Wayahudi na Wakristo Mecca bila bugudha wala hakuamulisha wafuasi wake kushambulia madhehebu hayo.
Matatizo yanayojitokeza sasa hivi ni viongozi wetu kushindwa kuyatafutia ufumbuzi matatizo ya mfumuko wa bei na ukosefu wa kazi uliopo sasa hivi miongoni mwa vijana.Hali hii imejionyesha hata kwenye mkutano mkubwa wa CHADEMA uliofanyika jangwani jumamosi.
Napendekeza viongozi warudi tena kwa wananchi washirikishwe ni nini wanachohitaji kwa ajili ya muundo mpya wa maisha yao.Naomba taasisis za usalama waangalie kuingiliwa kwa wananchi wa afrika mashariki na tamaduni za kigeni,hasa itikadi ya chuki ya Al-shabaab/Al-Qaeda kama inavyojionyesha na Republic of Mombasa na matukio haya ya Zanzibar(kuchoma makanisa) nina imani kubwa kabisa CUF hawahusiki na vurugu hizi.
 
MMK,
Linapofika suala la Zanzibar watu tunaogopa kusema ukweli na kuishia hitting around the bush. Hivi ni kweli wangeitwa watafiti waliohuru kuorodhesha mzigo wa muungano na maudhi yake ni Zanzibar ndio ingeonekana ina kero kuliko bara?
Suala hili kwangu ni chuki za kidini zaidi na kutaka kulinda udini wa wachache (naamini si wazanzibar wote ni madini). Hawa watu wanachuki na watu bara kwa sababu ya ukristo wao. Hawa watu wanafikiri uhuru kutokuwepo kanisa wala tamaduni zinazokinzana na uislamu.
Hivi watu wanapoandamana na kuchoma makanisa wana maana gani. Muungano ni swala la kisiasa vipi wanaopigania uhuru wa siasa waache nyumba za ibada? Vipi suala la kudai uhuru wa kisiasa waachiwe kikundi cha kiislamu? Hawa ni wahuni tu waliohamasisha wazanzibar kwa mgongo wa dini kuwaunga mkono. Wanawaaminisha wazanzibar kuwa matatizo na utamaduni usioendana na uislamu unasababishwa na watu wa Zanzibar.
Hawa ni watu wasiofikiri kwa mapana kuhusu mustakabali wa Zanzibar ikiwa muungano utavunjwa. Wanafikiri tende na halua litawateremkia tu.muungano ukivunjwa. Wanaona Muungano unawanyima kuamua na kuwa sauti kwenye utawala kama viongozi wa dini tofauti na Zanzibar ikiwa pekee yake viongozi wa dini watakavokuwa na sauti. Wanafikiri Zanzibar watapata misaada kama nchi hivo msaada huo utakuwa Tele kiasi cha kuifanya Zanzibar ulaya.
Kwa upande wa utamaduni wanachukia baa bila kufikiri kwa upana kuwa uchumi wa Zanzibar unaendeshwa kwa utalii ambao unaendekeza tamaduni za kizungu kuliko vipub vya watu wa bara.
Ukweli ni kuwa hawa watu wanacheza na moto wasioweza kuuzima. Kero za muungano ni visingizio tu lakini kikubwa wadini wanataka kutimiza adhma zao za kuchukia dini na tamaduni tofauti na zao.

Rudi shule jifunze historia ya nchi yako ya Tanganyika na baadae ile ya Zanzibar. Sio lazima kuandika kitu hapa unaweza kuelimika kwa kuwa msomaji tu...
 
Back
Top Bottom