Yaani nikae kabisa niangalie movie ya Bongo mwanzo mpaka mwisho?
Halafu hawa wasambazaji ndio wana washinikiza wawe wana rudia charactor hili wauze tuu!mfanoWasambazaji ndio wameshika mpini, na wasambazaji wenye nguvu ndio hao wadosi, unategemea nini ukiwa vichwa sampuli ya kina JB, Ray, Cloud.....
Akili zimeshachezewa na wadosi kila wanachoambiwa..ndio mzee... tengeneza muvi kila mwezi....ndio mzee.....fanya part 1 na 2...ndio mzee (hapo gari itaendeshwa kutoka Mwenge mpaka posta)....msisikilize maoni ya mashabiki wenu jalini pesa ninayowalipa...ndio mzee...kuna siku atasema "sasa mimi iko hamu, omba panda veve"....ndio mzee.
Kama mnasubiri jipya kutoka Bongo muvi, mtasubiri sana wandugu.
Haya ya budget ndogo ndio yana zaa movie mbovu na ndio mwanzo wa kufanya kila kitu wewe mwenye!inaonekana humu kuna wapenzi wa filamu ila wadau wanatuangusha kama kuna mtu yuko inerested kuleta mageuzi anakaribishwa nimeshaandaa movie ya kufunga karne kwa bajeti ndogo tu njoo tuchangie tugawane faida
Hebu twende pm fasta ukaniambie wewe ni nani vile????
Utakuwa umewapendelea mno mi naona bure tuyaite Bongo mavi!
yani movie ni foolish kama jina lake... so foolish!
i am one among bongo movie actors, ila imenibidi nichepuke kwanza na elimu, huko sio mpango kwa sasa kabisa!
Sijakuelewa umejaribu kuchangia nini! Na huyo anaonewa wivu kwa sababu gani? Au kukosolewa ni kuonewa wivu?vaa miwani usione gere..huyo shamsa haolewi kikwelikweli wana act tu..acha wivu
hahahaaa! wewe! wacha kabisa!
nikijitambulisha hapa sitakuwa huru kabisa mama!
Hadi mie unanificha shemeji yako?Kiukweli siamini macho yangu Excel