excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Elimu.....
elimu ndogo sana inawasumbua wana bongo movie!
wengi wao ukiangalia hawajaenda shule, wanawake wanaishi kwa kukimbizana na waume za watu na kujiuza..
Soko la bongo movie halina stability, hakuna aliyewahi kufanya esearch na kuleta data juu ya uhai wa soko...
Sisi bado sana, serikali ya NIGERIA inatoa pesa nyingi sana ku-finance filamu, kwa sababu tu wameona inasaidia kupunguza tatizo la ajira..
kwa bongo hii utoe pesa kuwasaidia hawa, utampa nani?
elimu ndogo sana inawasumbua wana bongo movie!
wengi wao ukiangalia hawajaenda shule, wanawake wanaishi kwa kukimbizana na waume za watu na kujiuza..
Soko la bongo movie halina stability, hakuna aliyewahi kufanya esearch na kuleta data juu ya uhai wa soko...
Sisi bado sana, serikali ya NIGERIA inatoa pesa nyingi sana ku-finance filamu, kwa sababu tu wameona inasaidia kupunguza tatizo la ajira..
kwa bongo hii utoe pesa kuwasaidia hawa, utampa nani?