Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

Taarifa zinazotangazwa na watumishi wa itv, staff na mavazi ....kama hawapotoshi ukweli wa matukio. ..mie nadhani wanafanya kazi vizuri sana in this modern time....kuna uhalisia mkubwa sana.
 
Mbona TBC hata gazeti lenye kichwa cha habari cha ukawa kizuri hakisomi na hamsemi. Acheni ITV ndiyo TV ya Watanzania cc Pasco
 
Last edited by a moderator:
Tv ambazo zimefanya kazi kitaalamu na pasiwepo kushabikia ghasia ni tbc,star tv na mlimani tv.TV hizi zitatupiwa madongo lakini zisijali.Watanzania tutawaheshimu
 
:redface::A S-fire1: Itv ni ileile ni ileileee wanachukua wanaweka ..... malizia menyewe
 
Mnatakiwa muiulize serikali ituhakikishie ile dawa ya jadi kutoka Madagascar itathibitishwa na TMDA kabla ya kutumika hapa nchini? Sheria inataka hivyo ili kulinda afya za watu wetu.
 
Nashukuru kwa uzi wako, natumai bwana mayala siku chache zijazo utakuja na uzi mfano wa huu, kucriticize TBC na uongo wao wa kichama
Wewe si iendelee kusikiliza ukweli na uhakika kutoka TBC au ianzishe ya kwako kwakuwa unajiona ni nguli kuliko nguli wa BBC.
Haikosoi TBC hata mara moja anaikosoa BBC.
Heeeee! eti BBC!!! Yaani watu hawaoni fyongo, uzushi na upotoshaji wa TBC ya Ayoub wanaona ya London
''Ondoa kibanzi kwenye jicho lako ndipo uondoe boriti .....''
JokaKuu
Uwezo wako ni wakukosoa TBC tu... Huko pengine sio level yako... Kwanza mabeberu ni wakina nani?
Sio BBC Pekee!.
P
 
Back
Top Bottom