Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

Pasco

Ni lini hivyo vyombo ulivyovitaja vilitangaza wazi kuwa sehemu ya Vyama tajwa. Mathalani sijasikia wakati wowote StarTV and RFA wakisema wao ni sehemu ya CCM, ni kwa nini ITV, Radio one na magazeti yao watangaze hivyo? Binafsi ninafikiri katika vyombo vya habari vilivyotenda haki katika uchaguzi huu ni vyombo vya IPP. Pamoja na kwamba unaweza kuhisi kuwa wanapendelea upinzani (kwa sababu tu ni nadra hapa kwetu kuona chombo cha habari wakiwapa wapinzani nafasi kama chama tawala), lakini kiukweli walifanya kama inavyotakiwa katika nchi ya kidemokrasia!

Mkuu huyo alishapumbazwa kuwa ccm ni kila kitu na hajui kuwa sasa tupo ndani ya mfumo wa vyama vingi vya siasa
 
Hapa umeweka unafiki mtupu mbona reporter wa ITV walioambatana na Magufuli alikuwa anatangaza kwa ushabiki wala hatujaongea?
 
Mengi ana hasira sana na serikali ya CCM kumtelekeza na kumnyima kitalu cha gesi, amejitahidi sana kumbeba Lowassa na kumkandamiza Magufuli, Lakini Mungu yupo upande wa Magufuli hata afanyeje!
 
Kwakweli tbc ni janga heri itv wametugomboa hongera sana itv na mungu awajalie

Mmawia we ni miongoni mwa wafia chama na Lowassa, so huwezi ukawa na busara hata siku moja, kamwe mlitakalo haliwi, ashawaambia hata JK
 
Mmawia we ni miongoni mwa wafia chama na Lowassa, so huwezi ukawa na busara hata siku moja, kamwe mlitakalo haliwi, ashawaambia hata JK

Hapo ndio umeandika kitu gani wewe zoba?
 
Huyo hapo
 

Attachments

  • IMG_1623.JPG
    IMG_1623.JPG
    58.8 KB · Views: 60
Mmawia sabalaheri mkuu.
kitambo hatujasalimiana humu!

Huyo dogo ni kati ya watangazaji wanao jua wajibu wao na atafika mbali sana maana anajitambua wewe kama umewazoea watangazaji wako wa tbc ndio imekula kwako
 
Mengi ana hasira sana na serikali ya CCM kumtelekeza na kumnyima kitalu cha gesi, amejitahidi sana kumbeba Lowassa na kumkandamiza Magufuli, Lakini Mungu yupo upande wa Magufuli hata afanyeje!

Dua la kuku fanya kazi wacha majungu hayata kusaidia kitu
 
asante mkuu. nifuraha yangu kukuona bado upo humu maana pia kuna maisha hata baada ya huu uchaguzi kuisha.

Cha msingi fanya kazi ujiingizie kipato siyo kushinda na njaa
 
Lakini wanachokionyesha si ndio hali halisi ilivyo?? au nyie mlitaka waonyeshe hali ya shwari wakati kuna Watanzania wenzetu wanadunguliwa virungu na mabom ya machozi??

we mburura unaambiwa kavaa jezi ya chadema!!! ndio alipokosea

mengine yote yako sawa, usichoelewa ni nini>?? mpaka usutwe??
 
Pasco, umekosa kazi ya mwandishi wa Rais, lol!
bora Dada yangu Frema umeliona hilo ni mara zote tulimwambia utabiri wa kumbeba Mamvi hauziki sio kwa CCM ni hata kwa Watanzania wote
sasa hivi Pasco kaamua mwenyewe kustaafu maana mapambazuko ya hapa ni kazi tu anayaona
hakuna vitu vinavyopotosha km kalamu, mitandao nk ni sawa na risasi

NB.Pasco wa jf ni mwandishi mkongwe wa habari, ameripoti chaguzi za 1995, 2000, 2005 na 2010 akiwa newsroom!. Hivi sasa ni mstaafu, anakaa na kuangalia tuu jinsi vijana wanavyoripoti!, hivyo ITV, please don't feel offended, anayewakosoa ndie anayewatakia mema, just keep it up the good job you are doing!.
Pasco
 
itv badala ya kuonesha watu wakishangilia ushindi wao wanaonesha ugomvi ....ndio mpangi halifu wa strategists wa ukawa ambao walitaka kuona vurugu zinatokea ili mdhungu aje kuwasaidia...shame!!

kumbe watu wanataka tv zionyeshe wanayoyataka wao sio yanayotokea
 
Preamble:Japo ITV imefanya kazi nzuri katika kuuhabarisha umma uchaguzi huu, lakini kitendo cha Mtumishi wa ITV kuvaa sare ya Chadema, hakiwezi kuachwa hivi hivi bila kukemewa!.

Nakiri kuandika uzi huu kwa inpiration kutoka kwa mwana jf huyu

Majibu ya maswali hayo, yapo kwenye mada zangu hizi zifuatazo.
Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endosement?

Kampeni UKAWA: Mnyonge Mnyongeni!, TBC, Inastahili Pongezi!.

Kwa "Breaking News", Hongera ITV/Radio One!, Hongera

Kitendo cha ITV kumpa Airtime Warioba ni Uchochezi au...

Kufuatia Kazi Nzuri Iliyotuka Inayofanywa na ITV,

Mnaonaje Mzee Mengi Akabidhiwe Kuiendesha TBC?

ITV na "Morbid Curiosity", Very Unprofessional!.

Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa!.

Mzee Reinfred Masako, Mungu atakulipa kwa kazi nzuri

Media inaruhusiwa kuchagua upande, yaani taking sides, kwa kufanya kitu
kinachoitwa "media endorsement" au ya vyama, au ya wagombea, ila media
hiyo inapaswa ku declare openly, mfano gazeti la Uhuru, Jambo Leo na
baadhi ya magazeti yameside na CCM. Gazeti la Tanzania Daima lina side
na Chadema. Kituo cha TV cha Star TV, na Redio ya RFA, vimeamua
kuvurumisha matangazo ya CCM every 15 minutes!.Kwa
vile ITV haija declare any media endorsement kwa mgombea yoyote au
chama chochote, hivyo it is wrong kwa muajiriwa wa ITV kuvaa sare ya chama chochote!.

Pia nilizungumzia maripota waliokuwa wakiandamana na wagombea urais wa CCM na Chadema, walikuwa wakiripoti as if wameajiriwa na hao wagombea, hivyo reportage yao ni biased with full
sensationalism ili kumbeba mgombea wao!.

Waandishi wa habari japo sii wote walioajiriwa na vyombo vya habari vya umma, lakini nature
ya waandishi wa habari inawafanya kuingia kwenye kundi la za fani za  "the noble professions" ambazo ni kazi za wito, au kazi za kanisa, kama udaktari na ualimu, uanasheria, uaskari, etc!, hivyo wanapaswa kuwa ni watumishi wa watu, public servants, hivyo hawapaswi kuonyesha mahaba yao kwa upande wowote!.

Kazi ya msingi ya mwandishi yoyote wa habari is to tell nothing but the truth with objectivitiy, impartiality and balance. Ukiisha vaa sare ya chama fulani, huwezi kuwa objective, impartial na ku balance the story bali utaegemea side ya hiyo sare yako!.

NB. Naomba nimalizie kwa kutoa a little bit benefit of doubt, kuwa hakuna mahali popote, Chadema kimesajili fulani za rangi hizo kuwa ni sare yake, kama ambavyo kuvaa nguo ya kijani na manjano ambayo ni rangi za CCM, CCM haina copy right yoyote, hivyo pia inawezekana kabisa mtu ukajinunulia fulana yako ukiwa totally innocent ukajivalia fulana yako bila kujua ni sare ya chama fulani, hivyo kutokuwa na motive yoyote behind, then ukigundua kuwa kumbe inafanana na sare ya chama fulani, next time hutaivaa fulana yako kazini!.

NB.Pasco wa jf ni mwandishi mkongwe wa habari, ameripoti chaguzi za 1995, 2000, 2005 na 2010 akiwa newsroom!. Hivi sasa ni mstaafu, anakaa na kuangalia tuu jinsi vijana wanavyoripoti!, hivyo ITV, please don't feel offended, anayewakosoa ndie anayewatakia mema, just keep it up the good job you are doing!.

Pasco
posco uko njema, toa elimu kwa wasioelewa
 
Back
Top Bottom