Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

Itv badala ya kuonesha watu wakishangilia ushindi wao wanaonesha ugomvi ....ndio mpangi halifu wa strategists wa ukawa ambao walitaka kuona vurugu zinatokea ili mdhungu aje kuwasaidia...shame!!
Yaani hawa ITV walitaka tuingie vitani,nashindwa kuwaelewa wao pia wamechangia kuchochea watu kufanya fujo kama vile walivyofanya huko Sandali na Mtoni Temeke,sio usiri ITV wameegemea upande wa UKAWA,sida ni vitalu vya gesi lakini Mungu ni mkubwa huonyesha unafiki wa watu mchana kweupee
 
ITV ni kituo cha UKAWA. Spencer LAMECK, huyu dogo, anatangaza issues kama mpira wa miguu. Sioni kama ana mwisho mzuri wa taaluma ya uandishi wa habari.
Watangazaji wa IPP media hawawezi kwenda kinyume na matakwa ya mmiliki wa vyombo hivyo
 
we mburura unaambiwa kavaa jezi ya chadema!!! ndio alipokosea

mengine yote yako sawa, usichoelewa ni nini>?? mpaka usutwe??

Nawewe acha unafiki kinacho lalamikiwa na mleta sio mtangazaji kuvaa shati cdm bali kituo cha itv
 
Una akili mgando sana kwa ajili ya kupumbazwa na ccm

ITV is the best tv station in TZ so far. AZAM nilinunua hadi decoder yao na nawapongeza kwa quality nzuri lakini ITV ni beyond explanation, coverage, courage, speed a hakuna anayewakaribia
 
ITV ni kituo cha UKAWA. Spencer LAMECK, huyu dogo, anatangaza issues kama mpira wa miguu. Sioni kama ana mwisho mzuri wa taaluma ya uandishi wa habari.
Kwani ni Mungu wewe!!?? Au umelogwa??
 
ukitaka taarifa ya habari yenye uhakika na haina upendeleo angalia ITV, TBC laangaliaga ubongo kids bas
 
Preamble:Japo ITV imefanya kazi nzuri katika kuuhabarisha umma uchaguzi huu, lakini kitendo cha Mtumishi wa ITV kuvaa sare ya Chadema, hakiwezi kuachwa hivi hivi bila kukemewa!.

Nakiri kuandika uzi huu kwa inpiration kutoka kwa mwana jf huyu

Majibu ya maswali hayo, yapo kwenye mada zangu hizi zifuatazo.
[h=3]Kuelekea Octoba 2015: Je, Sasa ni Wakati wa Media Zetu Kufanya Endosement?[/h][h=3]Kampeni UKAWA: Mnyonge Mnyongeni!, TBC, Inastahili Pongezi!.[/h][h=3]Kwa "Breaking News", Hongera ITV/Radio One!, Hongera [/h][h=3]Kitendo cha ITV kumpa Airtime Warioba ni Uchochezi au...[/h][h=3]Kufuatia Kazi Nzuri Iliyotuka Inayofanywa na ITV, [/h][h=3]Mnaonaje Mzee Mengi Akabidhiwe Kuiendesha TBC? [/h][h=3]ITV na "Morbid Curiosity", Very Unprofessional!.[/h][h=3]Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa!.[/h][h=3]Mzee Reinfred Masako, Mungu atakulipa kwa kazi nzuri [/h]Media inaruhusiwa kuchagua upande, yaani taking sides, kwa kufanya kitu
kinachoitwa "media endorsement" au ya vyama, au ya wagombea, ila media
hiyo inapaswa ku declare openly, mfano gazeti la Uhuru, Jambo Leo na
baadhi ya magazeti yameside na CCM. Gazeti la Tanzania Daima lina side
na Chadema. Kituo cha TV cha Star TV, na Redio ya RFA, vimeamua
kuvurumisha matangazo ya CCM every 15 minutes!.Kwa
vile ITV haija declare any media endorsement kwa mgombea yoyote au
chama chochote, hivyo it is wrong kwa muajiriwa wa ITV kuvaa sare ya chama chochote!.

Pia nilizungumzia maripota waliokuwa wakiandamana na wagombea urais wa CCM na Chadema, walikuwa wakiripoti as if wameajiriwa na hao wagombea, hivyo reportage yao ni biased with full
sensationalism ili kumbeba mgombea wao!.

Waandishi wa habari japo sii wote walioajiriwa na vyombo vya habari vya umma, lakini nature
ya waandishi wa habari inawafanya kuingia kwenye kundi la za fani za- "the noble professions" ambazo ni kazi za wito, au kazi za kanisa, kama udaktari na ualimu, uanasheria, uaskari, etc!, hivyo wanapaswa kuwa ni watumishi wa watu, public servants, hivyo hawapaswi kuonyesha mahaba yao kwa upande wowote!.

Kazi ya msingi ya mwandishi yoyote wa habari is to tell nothing but the truth with objectivitiy, impartiality and balance. Ukiisha vaa sare ya chama fulani, huwezi kuwa objective, impartial na ku balance the story bali utaegemea side ya hiyo sare yako!.

NB. Naomba nimalizie kwa kutoa a little bit benefit of doubt, kuwa hakuna mahali popote, Chadema kimesajili fulani za rangi hizo kuwa ni sare yake, kama ambavyo kuvaa nguo ya kijani na manjano ambayo ni rangi za CCM, CCM haina copy right yoyote, hivyo pia inawezekana kabisa mtu ukajinunulia fulana yako ukiwa totally innocent ukajivalia fulana yako bila kujua ni sare ya chama fulani, hivyo kutokuwa na motive yoyote behind, then ukigundua kuwa kumbe inafanana na sare ya chama fulani, next time hutaivaa fulana yako kazini!.

NB.Pasco wa jf ni mwandishi mkongwe wa habari, ameripoti chaguzi za 1995, 2000, 2005 na 2010 akiwa newsroom!. Hivi sasa ni mstaafu, anakaa na kuangalia tuu jinsi vijana wanavyoripoti!, hivyo ITV, please don't feel offended, anayewakosoa ndie anayewatakia mema, just keep it up the good job you are doing!.

Pasco

Angalieni hii picha
 
Mbona tunaleta vitu ambavyo havina mashiko? Siasa ni kwa msimu tuu,kesho maisha kinaendelea kama kawaida bila kujali chama. Hatuko vitani,hamna haja kujenga uadui,ni mapenzi ya mtu sawa,alafu,hawa media wamefanya kazi nzuri,tuwapongezr,Mzee mengi hajasema ni wa chama ipi,yeye anaunga serikali mkono.
 
Puuuh! Vituu visivyo na maana. Akiva kunashida gani,hiii ni siasa bwana hatuko vitani,mwisho wa SIKU baado tu wamoja,nci yetu Tanzania.

Kaa kimya! wewe mbwiga poli. hivi unazijua sheri za utangazaji au unalopoka tuu. mtangazi huruhusiwi kuonyesha ni upande gani unapendelea. sasa huyo kaonyesha wazi wazi hadi kavaa sare. angekuwa kavaa kijani au njano tusingepona humu. so lazima tudili nae hatuwezi kaa kimya hata siku moja. ni yeye kaamua kufanya hivyo au katumwa na Mengi
 
Nimemtuma Juma Nyosso nyumbani kwa mleta Uzi ...akifika nijulishe
 
Hebu extend kidogo huo uchanganuzi wako, why only itv? What about other channels? Sehemu zingine umezungumza jumla lakini title ni itv, mwanzoni ulifanikiwa kushika fikra za mazuzu kwa sasa utauza chai sana isiyo na wateja, tunasubiri nyuzi zingine, mmeandaliwa kweli kweli
 
Mmkakati kwa baadhi ni KUTANGAZA mazuri kwa watu wake na kuumbua NEC / serekali
 
Heri sijaelewa chochote, i thought tungewa compliment kwa kazi nzuri kumbe tunawarushia madongo tena??? akili zetu zina shida
 
Yale yale mimi wala siwalaumu ITV kufanya walichofanya wala magazeti leo yaliyoandika NEC yaibeba CCM tatizo ni wafanyakazi wa serikari sijui kwanini wengine amuoni Tanzania aina uhaba wa sheria wala shida ya katiba mpya.

Ukipitia sheria mbili ya broadcasting act 1993 and national security act za tanzania; utaona zile sheria zinataka media to be heavily regulated na kutoandika au kurusha habari zenye uchochezi. Embu tujiulize wanawezaje sasa hawa watu kuthubutu kuvaa magwanda (huyo cameraman tu angemwambia mjomba unatafuta matatizo achilia mbali hiyo TV kurusha habari za mtu aliovaa hivyo siku ya uchaguzi)au kuandika habari front page kuwa NEC yaibeba CCM bila ya ushahidi (inawezekana vipi kama wanajua sanction zinazofuata) sio kwamba wanavunja sheria ya national security, nenda kwenye regulator site tafuta current regulatory frameworks wanazotaka vyombo vya habari vifuate na kweli awacheki na nyani hakuna.

Tatizo ni taasisi za serikari iwe wanasimamia maendeleo au wanatakiwa kuhakikisha mwongozo unafuatwa wenye maslahi mapana hakuna wanachofaya cha maana sehemu yoyote kuna watu wengi sana wakufukuzwa kazi many of whom are just technical phd lakini sio managerial na ndio tatizo una phd sijui ya wiring nini sasa si ukajenge hiyo inahusiana vipi na kuendesha regulatoring authority.
 
Ujinga mwingine huuuuuuu!!! Kama utasema ITV inapendelea basi nenda kaangalie TBC au Star TV
 
preamble:japo itv imefanya kazi nzuri katika kuuhabarisha umma uchaguzi huu, lakini kitendo cha mtumishi wa itv kuvaa sare ya chadema, hakiwezi kuachwa hivi hivi bila kukemewa!.

Nakiri kuandika uzi huu kwa inpiration kutoka kwa mwana jf huyu

majibu ya maswali hayo, yapo kwenye mada zangu hizi zifuatazo.
[h=3]kuelekea octoba 2015: Je, sasa ni wakati wa media zetu kufanya endosement?[/h][h=3]kampeni ukawa: Mnyonge mnyongeni!, tbc, inastahili pongezi!.[/h][h=3]kwa "breaking news", hongera itv/radio one!, hongera [/h][h=3]kitendo cha itv kumpa airtime warioba ni uchochezi au...[/h][h=3]kufuatia kazi nzuri iliyotuka inayofanywa na itv, [/h][h=3]mnaonaje mzee mengi akabidhiwe kuiendesha tbc? [/h][h=3]itv na "morbid curiosity", very unprofessional!.[/h][h=3]waandishi wa habari na bahasha: Sio kila bahasha ni rushwa!.[/h][h=3]mzee reinfred masako, mungu atakulipa kwa kazi nzuri [/h]media inaruhusiwa kuchagua upande, yaani taking sides, kwa kufanya kitu
kinachoitwa "media endorsement" au ya vyama, au ya wagombea, ila media
hiyo inapaswa ku declare openly, mfano gazeti la uhuru, jambo leo na
baadhi ya magazeti yameside na ccm. Gazeti la tanzania daima lina side
na chadema. Kituo cha tv cha star tv, na redio ya rfa, vimeamua
kuvurumisha matangazo ya ccm every 15 minutes!.kwa
vile itv haija declare any media endorsement kwa mgombea yoyote au
chama chochote, hivyo it is wrong kwa muajiriwa wa itv kuvaa sare ya chama chochote!.

Pia nilizungumzia maripota waliokuwa wakiandamana na wagombea urais wa ccm na chadema, walikuwa wakiripoti as if wameajiriwa na hao wagombea, hivyo reportage yao ni biased with full
sensationalism ili kumbeba mgombea wao!.

Waandishi wa habari japo sii wote walioajiriwa na vyombo vya habari vya umma, lakini nature
ya waandishi wa habari inawafanya kuingia kwenye kundi la za fani za- "the noble professions" ambazo ni kazi za wito, au kazi za kanisa, kama udaktari na ualimu, uanasheria, uaskari, etc!, hivyo wanapaswa kuwa ni watumishi wa watu, public servants, hivyo hawapaswi kuonyesha mahaba yao kwa upande wowote!.

Kazi ya msingi ya mwandishi yoyote wa habari is to tell nothing but the truth with objectivitiy, impartiality and balance. Ukiisha vaa sare ya chama fulani, huwezi kuwa objective, impartial na ku balance the story bali utaegemea side ya hiyo sare yako!.

Nb. Naomba nimalizie kwa kutoa a little bit benefit of doubt, kuwa hakuna mahali popote, chadema kimesajili fulani za rangi hizo kuwa ni sare yake, kama ambavyo kuvaa nguo ya kijani na manjano ambayo ni rangi za ccm, ccm haina copy right yoyote, hivyo pia inawezekana kabisa mtu ukajinunulia fulana yako ukiwa totally innocent ukajivalia fulana yako bila kujua ni sare ya chama fulani, hivyo kutokuwa na motive yoyote behind, then ukigundua kuwa kumbe inafanana na sare ya chama fulani, next time hutaivaa fulana yako kazini!.

Nb.pasco wa jf ni mwandishi mkongwe wa habari, ameripoti chaguzi za 1995, 2000, 2005 na 2010 akiwa newsroom!. Hivi sasa ni mstaafu, anakaa na kuangalia tuu jinsi vijana wanavyoripoti!, hivyo itv, please don't feel offended, anayewakosoa ndie anayewatakia mema, just keep it up the good job you are doing!.

Pasco

itv itv itv itv itv itv itv itv hoyeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom