Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

Kinachofanywa na ITV ni kinyume cha maadili

ITV ni kituo cha UKAWA. Spencer LAMECK, huyu dogo, anatangaza issues kama mpira wa miguu. Sioni kama ana mwisho mzuri wa taaluma ya uandishi wa habari.

TBCCCM imekudumaza ubongo wewe sio bure
 
Itv kaskazini star Tvz kanda ya ziwa nikugawana tu kuondoa ftitina
 
Ni mtumishi gani aliye vaa uniform za cdm?
Pasco nadhani hukueleweka kabisa hasa namna heading yako ilivyokuja. Combat inanoga ikiwa ya kaki, so nadhani mstaafu wa news inabidi tukukumbushe kidogo!
 
Last edited by a moderator:
ITV ni kituo cha UKAWA. Spencer LAMECK, huyu dogo, anatangaza issues kama mpira wa miguu. Sioni kama ana mwisho mzuri wa taaluma ya uandishi wa habari.
Huyo dogo kwa sasa hata sipotezi muda wa kumtazama maanake unaona kabisa sijui njaa,kutokujielewa au ndo anadhani yuko Mkwakwani Stadium anatangaza mechi ya Ndanda na Sofa paka FC.Unapopewa kazi ya kupulizia perfume kinyesi kuna kunukia kinyesi,perfume au vyote sasa huyu kwa umri wake huu ushabiki aina hii siyo mzuri kwa career yake labda kama ITV ingejipambanua kuwa ni ya chama Fulani kama ilivyo kwa Startv.
 
pelekeni unafki wenu huko mnataka wafichefiche km Tbc ccm....kinachowafanya msiangalie channel yenu tbc ni nini...Tbc sindio inajigambaga ni ya UKWELI NA UWAZI..sasa unalialia nini we Gamba...go to hell...ITV WAPO JUU..ingekuwa ndio hivyo BBC CNN ALJAZEERA wasingefichua maovu gadamn it yo..u
 
Ni kweli, masikini mimi!, sasa nitafanyaje?. Nihurumieni!.

Pasco
Pasco

Ni lini hivyo vyombo ulivyovitaja vilitangaza wazi kuwa sehemu ya Vyama tajwa. Mathalani sijasikia wakati wowote StarTV and RFA wakisema wao ni sehemu ya CCM, ni kwa nini ITV, Radio one na magazeti yao watangaze hivyo? Binafsi ninafikiri katika vyombo vya habari vilivyotenda haki katika uchaguzi huu ni vyombo vya IPP. Pamoja na kwamba unaweza kuhisi kuwa wanapendelea upinzani (kwa sababu tu ni nadra hapa kwetu kuona chombo cha habari wakiwapa wapinzani nafasi kama chama tawala), lakini kiukweli walifanya kama inavyotakiwa katika nchi ya kidemokrasia!
 
Sioni tofauti yako Pasco na Mwanakijiji!

Wote nyie ni watu wakuangalia na kutafuta FURSA zenu wenyewe BINAFSI!

Huku kikinuka mnatafuta mazingira ya kuhamie kule....! Now unahisi CCM inashinda, unapitia dirishani kuomba poo!

Tanzani iliobora, lazima watu wenye mioyo kama yenu mpotee kwanza!
 
Pasco nadhani hukueleweka kabisa hasa namna heading yako ilivyokuja. Combat inanoga ikiwa ya kaki, so nadhani mstaafu wa news inabidi tukukumbushe kidogo!

Kwani pasco kesha staafu?
 
Last edited by a moderator:
Kuna uzi niliuweka hapa jana juu ya hii tabia ya hawa ITV reporters ila cha kusikitisha @Moderators wakautoa.
Sina shaka sasa ata @Moderator inatumiwa na chadema Kama ilivyo ITV.
 
Sioni tofauti yako Pasco na Mwanakijiji!

Wote nyie ni watu wakuangalia na kutafuta FURSA zenu wenyewe BINAFSI!

Huku kikinuka mnatafuta mazingira ya kuhamie kule....! Now unahisi CCM inashinda, unapitia dirishani kuomba poo!

Tanzani iliobora, lazima watu wenye mioyo kama yenu mpotee kwanza!

Hawatufai na hawana faida hao maana wanaangalia tumbo lao litajazwaje
 
Kama azam wako vizuri si uangalie hiyo!!! Najua una akili timamu, zitumie basi

Anasubiri apewe za sherehe na huyo pia hawezi kuipenda Itv na sababu anazo mwenyewe
 
Back
Top Bottom