Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,919
- 3,646
Mimi ni msukuma ila hawa wachaga niseme wana akili au wamebarikiwa sijui.Yaani wachaga wengi hata niliosoma nao shule wanaonekana hawatokei familia zenye umaskini uliokithiri.
Una mali za kuwekea rehani mkopo!? Wachaga wana majumba/mali za kuweka rehani ili kupata mkopo, na wakipata mkopo hawachezei hela mkopo "vigodoro", bali inapelekwa kwa biashara then faida kiduchu ndio "mchemsho" na mengineyoHahaha. Mkuu wapi wanakopesha hizo pesa nikachukue na mimi asee
Una mali za kuwekea rehani mkopo!? Wachaga wana majumba/mali za kuweka rehani ili kupata mkopo, na wakipata mkopo hawachezei hela mkopo "vigodoro", bali inapelekwa kwa biashara then faida kiduchu ndio "mchemsho" na mengineyoHahaha. Mkuu wapi wanakopesha hizo pesa nikachukue na mimi asee
Kumbe huo mkopo hautolewi kama Sadaka mkuu? Basi wachaga wapo JuuUna mali za kuwekea rehani mkopo!? Wachaga wana majumba/mali za kuweka rehani ili kupata mkopo, na wakipata mkopo hawachezei hela mkopo "vigodoro", bali inapelekwa kwa biashara then faida kiduchu ndio "mchemsho" na mengineyo
So kabil (Cain) was a female??Jealousy is a weak emotion. It is a female trait FYI.
Ungetupatia picha ya tukio moja la sherehe kubwa ya wachagga uliyoishuhudia mwezi huu. Ila pia wewe ni wa wapi ambapo hawafanyi sherehe hizo tujue kuna tatizo ganiWakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
hahahaaaaaaaaaaaaa! kama wanakopa kwa malengo safi sana. mkuu wewe kwenda kwenu inakuwaje?tunawajua hao ikifika desemba wanakopa pesa na kuazima magari ya kwenda kuoshea kwao
Acha ujinga kama we huna mipango ya kutafuta pesa na kutumia kaa kimyaWakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Alienacho ataongezewa, asienacho hata kile alichonacho atanyang'anywa. Chuki hazilipi ndugu yangu. Tunakuombea mema hata kama unatuchukia.tunawajua hao ikifika desemba wanakopa pesa na kuazima magari ya kwenda kuoshea kwao
Narudia jealousy is female traitSo kabil (Cain) was a female??