Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Hahaha. Mkuu wapi wanakopesha hizo pesa nikachukue na mimi asee
Una mali za kuwekea rehani mkopo!? Wachaga wana majumba/mali za kuweka rehani ili kupata mkopo, na wakipata mkopo hawachezei hela mkopo "vigodoro", bali inapelekwa kwa biashara then faida kiduchu ndio "mchemsho" na mengineyo
 
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Ungetupatia picha ya tukio moja la sherehe kubwa ya wachagga uliyoishuhudia mwezi huu. Ila pia wewe ni wa wapi ambapo hawafanyi sherehe hizo tujue kuna tatizo gani
 
Umekuja kuwachongea au? Huo ni umbea! Acha wapambane na hali zao.
Kipimo ni Dec hii tuone kama watapanda kama kawaida yao au la.
 
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Acha ujinga kama we huna mipango ya kutafuta pesa na kutumia kaa kimya
 
Ni mfano wa kuigwa, makabila yote yanapaswa kuiga mfano huu, kutafuta mwaka mzima, na mwisho wa mwaka kwenda kutumia pamoja na familia na ndugu uliowaacha huko kijijini.
 
Back
Top Bottom