Aah wapi..!!!
Wale wamebarikiwa kama wana Waisraeli,akijaribu baba yao wa mbinguni hatamwacha salama..
Asante! Laana ya umasikini haipo kule
Aah wapi..!!!
Wale wamebarikiwa kama wana Waisraeli,akijaribu baba yao wa mbinguni hatamwacha salama..
Kwani kuna tatizo gani mtu kutumia kipato chake halali kufanya sherehe?
Magufuli ana ugomvi na mafisadi,majizi na wakwepa kodi na sio raia wafanyao sherehe kwa jasho lao
Una mali za kuwekea rehani mkopo!? Wachaga wana majumba/mali za kuweka rehani ili kupata mkopo, na wakipata mkopo hawachezei hela mkopo "vigodoro", bali inapelekwa kwa biashara then faida kiduchu ndio "mchemsho" na mengineyo
Jealousy is a weak emotion. It is a female trait FYI.
Mimi nilidhani wanaiba kumbe wanakopa?? You are bewitched bitch!tunawajua hao ikifika desemba wanakopa pesa na kuazima magari ya kwenda kuoshea kwao
Kisebusebu na kiroho PAPO. Usiku wote huu hupati usingizi kwajili ya roho mbaya
Hilo la ibada ni kweli kabisa. Sehemu yoyote Tanzania alipo mchagga, lilkija swala la ujenzi wa nyumba ya ibada wanakuwa mstari wa mbele sana. Kwenye imani yao, ule usemi wa "toa ubarikiwe" wamezingatia.Umoja na Undugu ndio siri.
Uchakarikaji pasipo kudharau kazi ndio siri.
Sala na Ibada ndio siri.
Hata dhoruba iwe kubwa vipi haiwezi kuyazidi tajwa hapo juu.
tunawajua hao ikifika desemba wanakopa pesa na kuazima magari ya kwenda kuoshea kwao
Nenda moja kwa moja useme ulichokiacha badala yake ukauzunguka mbuyu. Jiamini utoe ya rohoni kwako ila ya mikoa mingine 24 usiyaseme sana kwani hakuna unayoyaelewa kila pembe ya mikoa hiyoWakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Fanya kazi kwa bidii uone kama mwaka utaisha ukilalamika hali ni mbaya! Tatizo wengi wameshajilaani kuwa hawawezi!Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu
Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.
Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?
Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
NaamWengi wa wachagga ni wachapa kazi sana ..Usione vimeelea vimeundwa
Big up mkuuHuku kila MTU anachakarika, kukikucha tu saa kumi na moja tunadamkia kazi, saa nne mtu ushaingiza Pesa yako mfukoni, unaenda kutoa lock kidogo afu mishe zinaendelea,
Hatusubiri Magufuli atuletee maendeleo bali maendeleo huletwa na sisi,
Siasa zetu ni za kiharakati CHADEMA.
Hatuna nidhamu ya woga,
Tunajiwezaaa...
Mkuu hizo sherehe ni ndogo ndogo njoo kuanzia tarehe 20 DEC uone Hummer zimepaki huku migombani.
PROUD TO BE CHAGGA.
pigeni kazi nanii na punguzeni fitina ya kutuitia Magufuli.