holypotato
Senior Member
- Sep 20, 2010
- 192
- 219
segerea na ukonga lindeni kura zenu eep:
Usiwe na wasiwasi data zote zipo hata mawakala wana kopi zao stay tuned hujiulizi kwanini husikii tamko lolote, Chadema hawakurupuki wanakusanya data kwanza hata NEC wanalifahamu hilo ndiyo maana wanatangaza kwa kuangalia upepo.
Wanajamii sisi tuombali tunaomba mtupe update za jimbo la segera tunasubiri kwa hamu.
<p></p>
<p> </p>
ukonga mambo hovyo!
Habari / Heading yako mbona haina mashiko?
bado kuna utata
Utata upi, ule wa Mahanga kukamatwa na mabox 12 ya kura ndani ya private car? Hivi kweli hili si kosa la jinai, mbona hayuko Segerea hadi sasa? Ninachojua haruhusiwi mtu kuwa na yale mabox yawe tupu au na kitu kama si mhusika (tume, masimamizi. wasambazaji,etc) na mgombea tena ni ndoto kabisa. Ingekuwa ni mgombea wa Chadema amepatikana na masanduku hayo ingekuwaje? Sheria itende haki!!
Nasikia Mahanga anagoma kusaini matokeo anadai yahesabiwe yale mabox 12 kwanza!! Hivi huyu si kati ya wale list of shame in mafisadis wa elimu? Nimeanza kumtilia mashaka!!