Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Hawa ndiyo uliyowasaidia kupata uhuru eti na kuwalaza ardhi yetu kule Mazimbu Morogoro. Ukweli tumepoteza hela sana na sasa hakuna return kabisa. Sasa itabidi na sisi watanzania tuwaze sana hawa wageni tunakumbatia wanauza mpaka yeboyebo kariakoo!! Sidhani kama katika nchi zao tunaweza kufanya hizi kazi. Eti ni wawekezaji!!! Tanzania Investment Centre imeshindwa kazi na ukweli Mh. Rais ninaomba ivunjwe kabisa ianze upya kwa mikakati ya kuhakikisha watanzania wana nafasi kubwa katika uchumi wa nchi hii. Iko siku tatakuwa full manamba katika nchi yetu na siku si nyingi. Subiri wakamate rasilimali zote wawekeze uone jinsi tutahenyeshwa katika kila eneo.