Kinachoendelea huko Pretoria South Africa

Mzawa Nation

Member
Joined
Feb 15, 2017
Posts
50
Reaction score
53
Tayari wanaigeria kadhaa washa uawa na wengine wapo hoi hospitali- ila hakuna mbongo aliye athirika na kinachoendelea huko Pretolia West mpaka sasa-- tarehe 24 na 25 mwezi huu- ndo wamepanga kumchakaza kila aina ya mgeni ilimradi tu akiwa ni mwafrika-
 
Awamu ya kwanza walisema waafrica wanaenda kule na wanashusha mishahara kama kazi ya kulipwa dola 3000 kwa mwezi wao wapo tayari walipwe 1000 ndo wakafukuzwa je saiz wamekuja na lipi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…