1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
Sehem nyingi tu wapemba wapo,! Inategemea na ww uko maeneo gani?
Unaweza kunidefine kama mwanaume wa Dar lakini sio kila mwanaume wa Dar ni lege lege, mayai mayai, etc kwaio haitakiwi kukariri vituEbu nikusaidie mkuu kiswahili kimekua
Mwanaume wadar-mwanaume legelege, mayai mayai
So doent necessary reflect geographic area
Usinge comment hivo umemfungua akili, mi nilitaka nifanye uchunguziKama vipi wekeza huko ufungue mgahawa classic upige hela
Hapo mitaa ya Salma coni kuna vyakula poa sanaa,Mjin kati kabisa
Kuna mama CHAI yupo pale Dodoma banaaSiku hizi kupata migahawa ya bei za kawaida na bado wakakupa chakula kizuri imekuwa ngumu sana,wapishi kama yule anayelisha opposite na rocky city mall,ni adimu!Nampa hongera yule mama pale nje ya mall unajitahidi kukarangiza.
😛 😛 😛 😛 panahitaji kufufua shughuli za kiuchumi kwanza,kutegemeana na jiografia ya eneo hilo.Mungu wangu!!! Pamoja na airport ya kimataifa, bohari kubwa ya MSD, ofisi kubwa ya TRA, branch nzuri ya CRDB, kumbe afadhali hata Katoro?
Kumbakumba kama sijakoseaHapo mitaa ya Salma coni kuna vyakula poa sanaa,
Mitaa ya Sahara kwa juu pale,,
Siku ukibahatika ukafika mitaa ya igoma, basi hapo kuna mmama mmoja ana mgahawa bomba sanaaaaa,,
Ukifika pale utahisi uko pwani,,
Kuanzia chai hadi misosi,, kiufupi ni watundu,, nikiwa na mishemishe mitaa ya kule basi huwa nafika palee, mda wowote vyakula ni vyamoto, hata ukienda usiku,
Wahudumu wake wamepiga hijabu nadhani pia ni wanawe, maana wote wanapga hijabu,, ukifika pale usipokuwa makini unaweza tangaza ndoa,, wakarim sanaaaa,,
Chief naungana na wewe kwa asilimia zote,wenyeji wa Mwanza hawajui kupika wala kuvaa!Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Pana sehem mbili kwa nje na ndani pako poa sanaaaaKumbakumba kama sijakosea
Safi chief kumbe nawe uko rock city?Kumbakumba kama sijakosea
Ukitaka mambo ya burger,juice zilizoenda shule,kuku wa kuoka nenda Salma corne,
ukitaka chips za kiwango cha MacDonald ,kuku wa sampuli ya KFC nenda mgahawa wa Sizzler.
Mambo ya tea,coffee etc nenda SUNCITY hotel.
Mchemsho etc nenda Four ways ,ila hii sidhani kama bado ipo,
ukitaka mambo ya mishakiki ya kukanga,keki za kiwango cha kimataifa nenda Victoria Fast food.
Ukitaka mambo ya Roast kuku,samaki etc nenda Chrimas Tree,Aspen etc
ila biriani,pilao ndo itabidi uende kwa mama lishe
Jamaa yangu tamaduni hazifanani, nimeishi kote huko ulipopataja ila lake zone ikiwemo mwanza chakula chao ni fresh sana, hakina mambo mengi artificial ivyo kinaleta nguvu za kutosha pia kinajenga mwili, lake zone yale matangazo ya nguvu za kiume na kurefusha dushe ni machache sana. Jombaa kula vitu sio unakula samaki analadha ya nanasi au ndiziMwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.
Lakini;
WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana
MISOSI
Hapa ndpo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.
Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.
Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.
BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.
Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Kuna watu mnautani sana aisee et fulu na numbuChato hakufai mji mzima hata sambusa hakuna,utaambulia nyanya,fulu,maziwa,numbu(viazi vitamu)
Hatuna nguvu za kiume lakini tukisema tunatoka daslamu hata kama ni Tandika au Tandale tukija huko mikoani kwenu tunawala hata kama tunapiga kimoja chaliwanaume wa dar bana kila siku kutwa kuanzisha nyuzi kuhusu kuikandia mwanza ili mradi tu mpate point ya kuondoa ka unyonge kenu,hivyo vyakula ndo vinavyowapa nguvu wanaume wa mikoani.
Mafuriko yakitokea huwez mkuta mwanaume wa mkoani kabebwa mgongoni,au kaenda kusafishwa miguu baada ya kutembea kwenye tope never.