figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,698
- 59,207
Watu wanaoitetea Tanganyika wakiwa wanaongea wanakata mawasiliano. Mfano kabudi alipoanza kuongea wakatoka hewani wamerudisha kashamaliza.
Tena zilikuwa ni nondo za usoni, maana Prof. Kabudi alikuwa anaongea kwa ujasiri usio wa kawaida mbele ya Makamu Rais wa JMT kwamba muungano tulionao umechoka na tusilazimishe vizazi vijavyo vikaishi kwa ujinga wetu. Aisee, ilikuwa ni balaa. TBC1 kama kawaida yao walivyoona nondo za usoni zinazidi wakakata matangazo. Aibu kubwa kwa TBC!
yale yale zidumu fikra dhaifu!TBC kama kawaida yao.
TBC1 sasa, wakiona mtu anashusha NONDO wanatoka hewani, miye nipo Mza vipi huko Dar mvua inanyesha tena? Maana siku ya Tundulisu Dodoma walisema mvua ilikatisha mambo.
pale tbc yamejaa matahaira yakiongozwa na mshana
Wanaongelea hali ya muungano nchini
Wakuu tunaweza mfuatilia prof. Kabudi yuko live sasa naona anafafanua masuala mbalimbali ya kikatiba. Amesema muungano wa mkataba unavunja muungano.
Safari hii TBC watasingizia nini?
Mkuu, hiyo mvua balaa inanyesha mahali gani hapa Dar leo Jmosi tar 19/4/14?
kiukweli leo nimekubali kuwa tume ilijaa weledi wa hali ya juu. Tbc kwa kweli mh