Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Hapana mitambo sio chakavu, ila hawataki watu wanaosema maneno ya kuwachoma kuhusu huu muungano.
Sasa kwanini wakachagua TBC ambayo ni kada wa CCM?Kulikuwa hakuna vituo neutral?Hawajajua bado kuwa UKWELI UNATKUACHA HURU.
Tatizo Tuliozoea kuishi kwa UWONGO hatuwezi katu kuishi katika KWELI.Twafa Mwaka huu.