Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
ni kweli nakubaliana na wazo kuwachochote chaweza kutokea Tanzania... lakini... JK alitangaza kuwa maagizo yake ni kwamba serikali itarudisha pesa, then itawa prosecute wahusika wote... This is what i want to c.kwanza... wafunguliwe mashtaka ya fraud, conspiracy to defraud, money laundering, theft, tax evasion... HAPO ndio tutajua kama kuna lolote.. Its very likely kuwa hamna kitakacho endelea.. lakini bila mashtaka hata kama yakuzugia...wazungu hawawezi KUTUCHUNIA ALAFU WATUPE HELA TUU TENA.. itabidi wachache wafungwe na wengine wale fine, wafilisiwe.. sasa hapa waliombali na JK ndio watachinjiwa baharini... wale maswahiba watachuniwa kiaina design... tungoje
Just wait in few days, watatoa majina yasiyojulikana (ya kutengeneza) na kusema kuwa ndiyo wamehusika na wizi huu na kuwa serikali imeiomba Interpol kusaidia kuwakamata. Majina yatakuwa kama ifuatavyo:
1. Urio Mangi - mkazi wa manzese Dar
2. Katayange Mwakipura - Mkazi wa Mwananyamala
3. Khirma Indighrayamavi - Mkazi wa Kariakoo....
na kadhalika!