Akagando
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 533
- 116
Acha hizo wewe, mbona tunaumbuana?. Niaje lakini.
kwa hiyo nawe unatabia za kihivi.mbona umetumia jina la kiume?
Acha hizo wewe, mbona tunaumbuana?. Niaje lakini.
hii nimeikubali kiaina...mwana siasa nini wewe????Hiviii, nikumbushe; Mungu alivyotuumba alituumba na nguo? Nini chanzo cha kuvaa nguo, dhambi eeh! Hivi watoto wachanga wanahangaika na nguo? No way! Why? Coz they are innocent; na Malaika wanavaa nguo? Sidhani. Hivyo mimi nadhani huyo dada anaekea kwenye umalaika, na mwenye dhambi ni weye ambaye ukiona uumbaji wa Mungu (mwili) unawaka tamaa, ila ukiona uumbaji wa binadamau (Minguo unasuppress mitamaa yako).
Dont tell them how to dress; tell your heart to stop tamani!
Hiviii, nikumbushe; Mungu alivyotuumba alituumba na nguo? Nini chanzo cha kuvaa nguo, dhambi eeh! Hivi watoto wachanga wanahangaika na nguo? No way! Why? Coz they are innocent; na Malaika wanavaa nguo? Sidhani. Hivyo mimi nadhani huyo dada anaekea kwenye umalaika, na mwenye dhambi ni weye ambaye ukiona uumbaji wa Mungu (mwili) unawaka tamaa, ila ukiona uumbaji wa binadamau (Minguo unasuppress mitamaa yako).
Dont tell them how to dress; tell your heart to stop tamani!
Maty............ni kwa sababu tamaa za watu wachache hazituhusu!Kwa nini wadada mmekua wakali sana kwa hii thread?
mkuu pamoja na utetezi wako wote, naona bado kuna tatizo!Maty............ni kwa sababu tamaa za watu wachache hazituhusu!
Atakaeguswa na akataze familia yake and the whole clan of his/her. Au akaombe dressing code serikalini...
Kama tatizo ni kuacha upaja nje, mbona kuna shows kama zile za makirikiri watu wanafurahia kuona mapaja ya wale wa dada?? Again kuna shows za BBA na mashindano ya mamiss na watu waona raha tu kuosha macho??
Every now and then....people mnajazana kwenye masebene ya ngwasuma na twangapepeta.....kwani wale wanenguaji huwa wamefunika mapaja???
Kaunga nitapenda Jumapili kuhudhuria Ibada utakayoendesha wewe; nipe jina la kanisa na ni ibada ya ngapiHiviii, nikumbushe; Mungu alivyotuumba alituumba na nguo? Nini chanzo cha kuvaa nguo, dhambi eeh! Hivi watoto wachanga wanahangaika na nguo? No way! Why? Coz they are innocent; na Malaika wanavaa nguo? Sidhani. Hivyo mimi nadhani huyo dada anaekea kwenye umalaika, na mwenye dhambi ni weye ambaye ukiona uumbaji wa Mungu (mwili) unawaka tamaa, ila ukiona uumbaji wa binadamau (Minguo unasuppress mitamaa yako).
Dont tell them how to dress; tell your heart to stop tamani!