Tatizo la akina dada wengi wana stress za kuolewa,akishaona umri umekimbia kidogo,rafiki zake wote wameolewa kabaki yeye anaanza kuchanganyikiwa.Bahati mbaya akikutana na mtoto wa mjini fasta anenda kujitambulisha kwao,akijua kabisa ndio mume ,kumbe wapi.
mimi kuna jamaa mmoja namjua tena yupo humu JF wametambulishana vizuri(pande zote mbili) mapaka vikao vya send off vinafanyika jamaa yupo, siku ya tukio lenyewe sasa(send off)jamaa hapatikani mpaka leo hii.
Akina dada tulieni haya mambo ya ndoa hayataki papara.
Nina rafiki zangu wengi wa wacameroon na waghana, almost nafahamiana na wa cameroon wote walioko hapa dar maana wana chama chao na kila anauekuja lazima areport kwao. Raisi wa chama chao ni rafiki yangu.
Almost 95% wanaish kwa kuwalaghai akina dada. Mimi uwa naeaonea huruma lakini kasumba ya wadada wengi kujiingiza kichwa kichwa kwa maforeigners uwa naona ngoja wajifunze from their mistakes
Hapana aisee
Ninavyoijua hela utadhani ina sura yangu....
hapa wadada wengi tutajifanya ohh mie nisingeweza ujinga kama huo. i suggest to stop judging the lady,
lakini amini nawaambieni wadada wengi wakikolea katika mapenzi wako very weak and wanaweza kuamua mambo mengi ambayo baadae hujuta mtoa mapenzi akishapunguza mapenzi kwake.
huwa na hisia ya kwa vile ananipenda kwa dhati na kuniridhisha kwa nini nisimpe? na ndio hichi kwenye ndoa nyingi mama anaumia sana na majukumu ya nyumbani kwa uvumilivu haswa baba akishaonesha kumpetipeti japo kidogo halafu akaomba msaada kutoka kwa mama mamma hutoa masikini bila kinyongo.
hapa wadada wengi tutajifanya ohh mie nisingeweza ujinga kama huo. i suggest to stop judging the lady,
lakini amini nawaambieni wadada wengi wakikolea katika mapenzi wako very weak and wanaweza kuamua mambo mengi ambayo baadae hujuta mtoa mapenzi akishapunguza mapenzi kwake.
huwa na hisia ya kwa vile ananipenda kwa dhati na kuniridhisha kwa nini nisimpe? na ndio hichi kwenye ndoa nyingi mama anaumia sana na majukumu ya nyumbani kwa uvumilivu haswa baba akishaonesha kumpetipeti japo kidogo halafu akaomba msaada kutoka kwa mama mamma hutoa masikini bila kinyongo.
Khantwe wakati hayo yote yanatokea kwanini hukuniambia mapema?
Niliwahi kufikishiwa ujumbe eti jamaa kasema "I don't like your friend", kisa tulikutana kwenye harusi moja nikauliza uliza maswali mengi jamaa anajikanyaga, hawi wazi.
Sasa nikaanza kutoa ushauri kumwambia dada hili ni famba, kumbe dada wa watu anaenda kumweleza, basi jamaa akija kumchukua jioni mi hata nikimsalimia haitiki, nikasema niachane nao, ndio maana hata hakuja kukopa kwangu.
ICHANA.... Nakutamania....sisi wengine tuna mioyo myepesi ajabu
tetetetet pole mkuu, ila point yangu ni hiyo huwezi jua kaka alikuwa amemuwin eneo gani. binadamu ni wa ajabu sana akirika na kitu hata ufanye nini atakuona wa ajbu tu na hataacha.Niliwahi kufikishiwa ujumbe eti jamaa kasema "I don't like your friend", kisa tulikutana kwenye harusi moja nikauliza uliza maswali mengi jamaa anajikanyaga, hawi wazi.
Sasa nikaanza kutoa ushauri kumwambia dada hili ni famba, kumbe dada wa watu anaenda kumweleza, basi jamaa akija kumchukua jioni mi hata nikimsalimia haitiki, nikasema niachane nao, ndio maana hata hakuja kukopa kwangu.
Pole sana shoga angu weye mm kumhonga mwanaume Nina aleji wallah.
Mshukuru Mungu kama haijakucost bdo
Watu wamebadilika sio wadada sio wakaka.
Jitahid kuwa makini usiamin sana kila kile unachoambiwa
ndio wadada mjifunze tujifunze wanaume sio wote wema na udhaifu wako ni fursa kwa wengine.
Haya mapenzi ya kumpa boifrendi hela huwa siyaelewagi mie