Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

Wakati mwingine ni bora akae kimya tu maana nae hakawii "kuharibu" yule! Hata hili la watanzania kutekwa huko Congo sio dogo kivile.
 
Mkuu umemaliza kila kitu hapa.
 
..ukimya huu ulionekana hata siku ya kuchangisha misaada ikulu....btw..kama ilivyokuwa walipoitwa mabalozi ikulu....swali juu ya ukimya huu anatakiwa alijibu Gerson Msigwa....anayetangaza watu kupewa ajira kila leo(teuzi)..huku watumishi walio wengi taifa zima wakiachwa....
 
Much respect Mkuu,karma inajibu malipizi now.
 
Tijifunze kuwa na akiba ya maneno. Ukubwa sio ufahari ni jukumu!
 
Tijifunze kuwa na akiba ya maneno. Ukubwa sio ufahari ni jukumu!
..hili janga la bukoba limetoa funzo kubwa sana kwa mkulu....kelele hazilipi...leo unawabeza watu...alafu kesho unapata janga unawatafuta wakupe misaada....huyu ni Mungu anawaonyesha watu mapito....
 
Sio lazima kuonekana, hata kutumia runinga kuzungumzia??? ..Yan hata tusimuone mkuu wetu akizungumzia jambo hili .???

Kuna kitu..
 
Mkuu umenifanya niutafute wimbo wa Prof Jay wa Machozi Jasho Na Damu.
 
Tushukuru kwa huu ukimya,
Kwani imesaidia kupungua kwa matamko yasiyo na kichwa wala miguu

ni kweli maana hata mtaani walau amani imerudi mambo ya kurushiana vijembe na mipasho yamepungua sana kwa hii wiki ya ukimya wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…