Hili Bunge Livunjiliwe Mbali Wanatafuna Kodi Zetu Bure
Vilaza wakubwa bunge still on
Hili Bunge Livunjiliwe Mbali Wanatafuna Kodi Zetu Bure
Mheshimiwa Kessy atoa taswira halisi ya Muungano. Wazinzibari hawachangii chochote bara. Vipi kuwe na wabunge wao zaidi 86 wanaogharamiwa na bara wao na wake zao.
Vile vile amehoji vipi Raisi wa Zanzibar awe makamu wa Raisi kwani huku amechaguliwa na nani.
Hali imekua tete ni ngumi mkononi. Mheshimiwa mmoja kutoka zanzibar alikua anatoka nje huku akimwiita Mheshimiwa kessy wakazichape kavu kavu.
Mheshimiwa kessy aliongeza chumvi kwenye kidonda kwa kusema, hata bunge hili maalum la katiba Wazanzibari hawakuchangia.
Jamani hizo ndio hekaya za Muungano wetu wa Ajabu kama alivyo sema Raisi wa Kenya Uhuru Kenyata.
mwambieni komba akapima afya yake angaza na mewata, majibu aweke hapa halafu aanze kutukana wazee kwamba wanasubiri kufa. Anachoogopa komba ni kukosa kazi ya kufanya kwa kuwa hata jeshini hana sifa. Labda aanzishe komedi yake.
Mwambieni komba akapima afya yake angaza na mewata, majibu aweke hapa halafu aanze kutukana wazee kwamba wanasubiri kufa. anachoogopa komba ni kukosa kazi ya kufanya kwa kuwa hata jeshini hana sifa. Labda aanzishe komedi yake.
hasa uyo kessy anabwabwaja nini kama aliyajua hayo kwanini asiungane na ukawa kutoka nje kwani hicho ndio wanachokipinga ukawa gharama tegemezi kuegemeea upande 1. na anaoufanya yeye ni unafiku si walijiita wengi tena mbona wanageukiana . asiwachezee wazanzibar hawawezi rabda ivo alindwe mpk kufa kwake eee
Na mimi namuunga mkono ndg Kessy katika suala la muungano.kessy.big up tuko pamoja
Dr asha rose anaongea kama presidential material
Mheshimiwa Kessy atoa taswira halisi ya Muungano. Wazinzibari hawachangii chochote bara. Vipi kuwe na wabunge wao zaidi 86 wanaogharamiwa na bara wao na wake zao.
Vile vile amehoji vipi Raisi wa Zanzibar awe makamu wa Raisi kwani huku amechaguliwa na nani.
Hali imekua tete ni ngumi mkononi. Mheshimiwa mmoja kutoka zanzibar alikua anatoka nje huku akimwiita Mheshimiwa kessy wakazichape kavu kavu.
Mheshimiwa kessy aliongeza chumvi kwenye kidonda kwa kusema, hata bunge hili maalum la katiba Wazanzibari hawakuchangia.
Jamani hizo ndio hekaya za Muungano wetu wa Ajabu kama alivyo sema Raisi wa Kenya Uhuru Kenyata.
bismillah.
kwanza nampa hongera mh kessy kwa ujasiri wake wa kusema yaliyopo na yasiokuwepo.
kwanza alosema co yote ya kweli mengine kaongea ili kuwakera wanaccm tu.
sisi wazanzibar co mzigo na laiti ingekua mzigo kwa serikali ya tanganyika ilivyo na chuki na znz ingekua washaibwaga.
sisi tunaweza kusimama kwa uwezo wetu na ndio maana hatuna haja ya muungano.
asilimia 75 ya mapato ya muungano hutumiwa kwa mambo yasiyo ya muungano km hamjui simeni history.
msitusakame waznz wakome km mzigo watutue
mheshimiwa kessy atoa taswira halisi ya muungano. Wazinzibari hawachangii chochote bara. Vipi kuwe na wabunge wao zaidi 86 wanaogharamiwa na bara wao na wake zao.
Vile vile amehoji vipi raisi wa zanzibar awe makamu wa raisi kwani huku amechaguliwa na nani.
Hali imekua tete ni ngumi mkononi. Mheshimiwa mmoja kutoka zanzibar alikua anatoka nje huku akimwiita mheshimiwa kessy wakazichape kavu kavu.
Mheshimiwa kessy aliongeza chumvi kwenye kidonda kwa kusema, hata bunge hili maalum la katiba wazanzibari hawakuchangia.
Jamani hizo ndio hekaya za muungano wetu wa ajabu kama alivyo sema raisi wa kenya uhuru kenyata.
Ukweli unauma. Nampongeza Bw Kessy kwa ujasiri wa kusema kilichowazi ingawa wenye macho
Wanajifanya vipofu....Kila mtu na abebe mzigo wake mwenyewe.
Namkubali sana kessy ... anatema ukweli mtupu... kwa kweli wazenj tunawalea lea sana ... yaani we treat them like kids...
Ndio ukweli wenyewe. Zanzibar katika mfumo wa serikali mbili ni zigo kubwa kwetu!
hasa uyo kessy anabwabwaja nini kama aliyajua hayo kwanini asiungane na ukawa kutoka nje kwani hicho ndio wanachokipinga ukawa gharama tegemezi kuegemeea upande 1. na anaoufanya yeye ni unafiku si walijiita wengi tena mbona wanageukiana . asiwachezee wazanzibar hawawezi rabda ivo alindwe mpk kufa kwake eee
bismillah.
kwanza nampa hongera mh kessy kwa ujasiri wake wa kusema yaliyopo na yasiokuwepo.
kwanza alosema co yote ya kweli mengine kaongea ili kuwakera wanaccm tu.
sisi wazanzibar co mzigo na laiti ingekua mzigo kwa serikali ya tanganyika ilivyo na chuki na znz ingekua washaibwaga.
sisi tunaweza kusimama kwa uwezo wetu na ndio maana hatuna haja ya muungano.
asilimia 75 ya mapato ya muungano hutumiwa kwa mambo yasiyo ya muungano km hamjui simeni history.
msitusakame waznz wakome km mzigo watutue