Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
.....
....ha ha ha jf raha kumbe !!!
....ha ha ha jf raha kumbe !!!
We mchepuko tarajiwa ulichonifanyia jana sitokaa nikusamehe labda unitunuku mambo yetu yale kudadadeki;
Yaani nitoke nyumbani tena kwa kulizua tu kwa wife kimagumashi, nichome mafuta yangu ya kugidagida mpaka kwenu takriban 72 km go and return gari 2500cc tukakaa kwenye maongezi zaidi ya masaa 2 gari iko silence unakula unyunyu wangu tukitafuta muafaka wa kugegedana ukawa unanizingua.
Ghafla anapokea simu kwa woga tena kwa mwanaume kama mimi na yeye alikuwa anakutongoza tu kwa mujibu wa maongezi yenu nilivokuwa nayasikia, yeye unampa appointment tena kwenye gari langu unakula AC tu sehemu ya kukutana mkagegedane mi unaniletea sinema
Kimeniuma kwa kweli
Unajijua kudadadeki wewe#JANA
komaa kzba!
naona umempania sana huyo Dada...ila ujue Ndo kuna kuumia hivo coz hapo kuna uchepukaji...
siku ingine atakupeleka umbali wa 500km afu utaambulia patupu......
Unahamu ya kunyofolewa meno bila ganzi au unasikiaga tu
Hata wa maana basi ndugu...yan hamna kitu,..... tu dada fulani twa kichaga sema mi nilitaka kupandisha rejesta yangu tu aisee
janga janga atoto
zamani wanawake ndo tulikua tunatangazana siku hizi kijiti wamepokea wanaume
MWANume asiejua kutunza siri huwa nafikiri sana juu ya maisha yake ya kawaida
kuwa gentlemen sio kuvaa nadhifu tu kutunza siri na kusikiliza hizo ni sifa kuu
yaani masai dada tunakoelekea tutaoa mama, maana hawa wanaume wa siku hizi wamebaki kuwa wanaume majina, vibarazani tunakesha nao, sasa hapo kuna mwanaume kweli!!!
hakuna ni shidaa sana
Yani mchepuko tu ndio unapaniki hivyo?Angekuwa mke?
Ha.ha ha ha ha jf raha sana ... umeshaliwa we mchepuko ye naye anamchepuko... unazima gari unafungua vioooo unakuwa kama mlinzi wa jeshi macho huku.na kule ha.ha ha ha maisha matamu loh
Ha ha tamu.ya pipi kumumunya ha ha kibonge nicheke mie nipanue mbavuyaani yeye kufanywa mchepuko kaumiaaaa, hapo ngoma drooo
Ha ha tamu.ya pipi kumumunya ha ha kibonge nicheke mie nipanue mbavu