Angekuwa mke asingeumia maana hamjali na ameshamuona hafai ndio maana akamsaliti lakini iko siku wenye tabia hizi watajua thamani za wake/waume zao ingawa mara nyingi yanapowafika inakuwa too late
Wife home umemuachia 10 atumie siku tatu. Kwa Bi mdachi hela haujatuma. Dingi mdogo aliomba 50 ukamtosa. Yatima pale jirani siku ya pili leo hawajala. Ninawaza tuu.
ndogo aiseeee.......mchepuko unatakiwa kutoa hela ndefu.....sasa 60,000 tu......sasa kwanini achepuke kisa 60,000.....ndiyo maana kasepa.....
Du sasa na wewe mbona wanikatisha tamaa, sasa ningempa bei gani manake mi ndo dau langu hlo kwa kifua chupi mdau
Kweli hayo mawazo yako, wanaume wa siku hizi hatuko ivo, home kwanza migegedo baadae.
mkuu unatumia fanta.??kama ndivyo chukua kwa mangi hapo nitalipa
Ina mtosha kwa hadhi yake
Wife home umemuachia 10 atumie siku tatu. Kwa Bi mdachi hela haujatuma. Dingi mdogo aliomba 50 ukamtosa. Yatima pale jirani siku ya pili leo hawajala. Ninawaza tuu.
Ndio ukitulize sasa hicho kibamia kwa shemeji.