sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Hata hufanani, wallet inapumua nilikadiria kuteketeza kama laki na nusu jana ila ndo ivo tena
laki na nusu tu.....? afu kifuta jasho ungempa shilingi ngapi.....?....mwenzio alipiga mahesabu akaona hapo unamzingua tu .....