Kimeniuma kwakweli

Kimeniuma kwakweli

Hata hufanani, wallet inapumua nilikadiria kuteketeza kama laki na nusu jana ila ndo ivo tena

laki na nusu tu.....? afu kifuta jasho ungempa shilingi ngapi.....?....mwenzio alipiga mahesabu akaona hapo unamzingua tu .....
 
laki na nusu tu.....? afu kifuta jasho ungempa shilingi ngapi.....?....mwenzio alipiga mahesabu akaona hapo unamzingua tu .....

Cheki bajeti hii;
Hoteli pale ubungo =40,000/
Wote siyo walevi kwa hiyo
Chakula na mbwembwe= 50,000/=
Kifuta jasho au kifua chupi 60,000/=
Usafiri upo,
Kweli hyo pesa ndogo mdau?
 
Yaani mkuu we acha tu nimeacha kuangalia mpira jana kufuata mgegedo kaniletea sinema aisee
ndio ukubwa huo mzee mwenzang.
ivi..... angekupa hicho kilicho kufanya hadi ukachoma mafuta kwa umbali wa km 70 na..
pia ungekuja kumunzishia uzi humu jamvini?
😛eep:
 
ndio ukubwa huo mzee mwenzang.
ivi..... angekupa hicho kilicho kufanya hadi ukachoma mafuta kwa umbali wa km 70 na..
pia ungekuja kumunzishia uzi humu jamvini?
😛eep:

Hapana mdau ningepiga kimya
Yote haya coz kwa alichonifanyia jana ila bado namvizia nitaleta mlejesho hapa
 
ndio ukubwa huo mzee mwenzang.
ivi..... angekupa hicho kilicho kufanya hadi ukachoma mafuta kwa umbali wa km 70 na..
pia ungekuja kumunzishia uzi humu jamvini?
😛eep:

Mpe ushauri huyo kijana.Wanaumw mmeumbwa na vifua vya kukabiriana na kila hali sasa kama mchepuko tu kaanza kumsema hivyo angechukuliwa mke si tz nzima ingejua
 
Hapana mdau ningepiga kimya
Yote haya coz kwa alichonifanyia jana ila bado namvizia nitaleta mlejesho hapa
au mtaje tu mkuu, mwaka huu jf imekua mpyaaaa... hakuna kupigwa pini na asieonekana
:welcome::ranger:
 
Cheki bajeti hii;
Hoteli pale ubungo =40,000/
Wote siyo walevi kwa hiyo
Chakula na mbwembwe= 50,000/=
Kifuta jasho au kifua chupi 60,000/=
Usafiri upo,
Kweli hyo pesa ndogo mdau?

Wife home umemuachia 10 atumie siku tatu. Kwa Bi mdachi hela haujatuma. Dingi mdogo aliomba 50 ukamtosa. Yatima pale jirani siku ya pili leo hawajala. Ninawaza tuu.
 
Hahahahahahahahahaaaaaaa, dah, kweli hapa ni "Wherre we dare to speak openly" genye zitawaua vijana. Tulieni
 
Kwani ac yako nimekuomba au? ,wee njoo na daladala lakini wallet iwe imetuna una tunisha nanilii akati walet imepwaya khaaa, wacha niongee na waliotunisha vyote kwenye gari yako, utakula kwa macho mvulana mkubwa bahil wew
 
Cheki bajeti hii;
Hoteli pale ubungo =40,000/
Wote siyo walevi kwa hiyo
Chakula na mbwembwe= 50,000/=
Kifuta jasho au kifua chupi 60,000/=
Usafiri upo,
Kweli hyo pesa ndogo mdau?

Hahaaaa hahaaaa, kifua chupiiiii nalo nenoo
 
Cheki bajeti hii;
Hoteli pale ubungo =40,000/
Wote siyo walevi kwa hiyo
Chakula na mbwembwe= 50,000/=
Kifuta jasho au kifua chupi 60,000/=
Usafiri upo,

Kweli hyo pesa ndogo mdau?

ndogo aiseeee.......mchepuko unatakiwa kutoa hela ndefu.....sasa 60,000 tu......sasa kwanini achepuke kisa 60,000.....ndiyo maana kasepa.....
 
mmh!! sifa kuu ya 'mwanaume' ni kuwa na kifua(hope u know wht i mean) ila wanaume wa cku hizi duuuhh!!!

Potelea mbali bora nimelitoa nipumue
 
Muonee wivu mkeo na siyo mchepuko. Tulia tu na mke wako, mbona mzuri tu ndiyo maana ukamuoa. Wako ni huyo uliyemuweka ndani, huyo mchepuko ni wa wote.
 
Wife home umemuachia 10 atumie siku tatu. Kwa Bi mdachi hela haujatuma. Dingi mdogo aliomba 50 ukamtosa. Yatima pale jirani siku ya pili leo hawajala. Ninawaza tuu.

Kweli hayo mawazo yako, wanaume wa siku hizi hatuko ivo, home kwanza migegedo baadae.
 
mmh!! sifa kuu ya 'mwanaume' ni kuwa na kifua(hope u know wht i mean) ila wanaume wa cku hizi duuuhh!!!

janga janga atoto
zamani wanawake ndo tulikua tunatangazana siku hizi kijiti wamepokea wanaume

MWANume asiejua kutunza siri huwa nafikiri sana juu ya maisha yake ya kawaida

kuwa gentlemen sio kuvaa nadhifu tu kutunza siri na kusikiliza hizo ni sifa kuu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom