Kimbunga ( Tornado) Cha Ajabu chatokea Kabale Uganda.

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Hiki kimbunga kimetokea Kabale Uganda katika ziwa Bunyonyi. Hili ziwa lina kina cha 7km, linasemekana kuwa la 5 kwa urefu wa kina duniani. Ila ni ziwa hatari sana maana watu wengi hupotea wanapochezea kandokando na bahat mbaya kuteleza kwenye maji..

Hiki kimbunga kimeambatana na mvua kubwa ya mawe. Ni kma kilkuwa kikivuta maji toka ziwani na kupeleka mawinguni.


Wachiga ( kabila la watu wa KAMBALE, uganda) huamini kuwa wanapopigia kelele na Ngoma kimbunga cha namna hii hupotea au huama. Angalia kwenye video utaona walivyoanza kupiga kelele kilivyokimbia.

Lake_Bunyonyi_(8146148093).jpeg

View attachment VID-20190121-WA0037.mp4View attachment VID-20190121-WA0036.mp4View attachment VID-20190122-WA0000.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh mbona kama ni zile hadithi tuliambiwa kuna mijoka inavutwa kutoka ziwani/baharini kuelekea mbinguni?
Kwenye video ya mwisho nimeona kabisa mkia unamalizikia.... Lol.

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Sometime kwenye maziwa kunakuwaga na gesi hasa ya carbon dioxide. Iki saturate huwa inatoka kwa kasi. Inaitwa lake overturn. Inaweza leta vifo vingi sana maana ikotoka na kujaa kwenye eneo watu wanashindwa kupumua sababu carbondioxide ni nzito ina displace hewa yote kwenye eneo. Ziwa kama ziwa kivu lin hatari hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom