Mh mwanamke ameumbwa kukidhi matamanio na haja ya mwanaume
Leo unapiga kwa Aisha, kesho kwa Maryam keshokutwa zamu ya mke watatu
Daah ila kaamrisha Allah who I am to object?
Binafsi hilo suala wala sipingani nalo na aoe hadi tuwe wanne...
Ila nsichokiweza ni purukushani zake maana hao watakao kuja wengi wao hujifanya wa maana na kuwazarau waliotukuta...
Na baadhi ya waume ndio chanzo cha nyie kugombana maana anakua unaelemea upande mmoja zaidi.
Ukewenza kazi si mchezo.
kama muumba angeliona hilo hakika angemuumbia adamu mke zaidi ya mmoja,lakini kwa kuwa alijua inawezekana sana kwa mwanaume kuridhishwa na mwanamke mmoja ndio maana akampa mke mmoja tu hawa,hayo mengine ya kimaumbile na sijui nini ni innovation za wanadamu tu ili kuhalalisha uasherati,hivyo ndivyo nionavyo mimi.
Kwani hakuna aya na miongozo ya namna ya kuishi ninyi mnaoolewa mitala?
Purukushani ya nini wakati ni maamrisho ya mungu?
Kama unaweza vumilia kasoro nyingine za ndoa kwanini hii ya kushare mwanaume m1 usiibebe kama kasoro nyingine na kuivumilia. Infact hutakiwi kuivumilia ni kuipenda kwa dhati!
ata wanawake nao wanamatamanio ya kuwa na mgegedo zaidi ya mmoja so wote tunapenda kugegedana
Naogopa hata kuwaza mambo haya mnayoyasingizia Mungu. Kweli Mungu amuumbe mwanamke ili awe kitulizo cha mwanamme tu! Huyu Mungu wa jinsi hii ni wa ajabu sana. Naamini na anisamehe tu kuwa ni; mbaguzi, mwonevu tena asiyejali uumbaji wake.
Hao wanawake wanao shea mkuki mmoja na mwenzake, tena bila taabu yeyote, anajua leo mwenzangu ameuchukua mkuki wangu anautumia atakavyo, halafu ajikunyate mwenyewe, Oh! It pains. Duh!
Hivi mnajua kuwa Mwanamke anao uwezo wa kuwachokesha waume 3 kwa siku? Iweje weye umkondeshe kwa siku 3 ndiyo akuone tena? Halafu ukija, awe tayari bila hiana kuupokea na kufurahia. Sijui, mi huwa nikijua kuwa kuna mtu katoka humo hata kama ni mumewe huwa sitamani tena. sasa mwanamke mbona hajisikii kinyaa? Poleni mnaoichangia hiyo mikuki
Nyie mmezidi banah
Binafsi hilo suala wala sipingani nalo na aoe hadi tuwe wanne...
Ila nsichokiweza ni purukushani zake maana hao watakao kuja wengi wao hujifanya wa maana na kuwazarau waliotukuta...
Na baadhi ya waume ndio chanzo cha nyie kugombana maana anakua unaelemea upande mmoja zaidi.
Ukewenza kazi si mchezo.
acha wogaIla mi naona ukiwa na wake wanne lazima vidume vikusaidie asee. Manake kama ni ratiba ya siku mbilimbili, wife anakusubiri wiki ndo uje umpe chakula yake... duh
Hongera kwa kufaidi na uadilifu je unauweza?
Isijekua kwengine wapeleka nyama kwengine dagaa kwengine mchicha...
Ushawahi kutamani kugegedwa?
Kipya kinyemi farkhina, hapa bila shaka mke mdogo ndiye anayefaidi zaidi na si ajabu njemba inalala kwa mke mdogo mara nyingi zaidi ukilinganisha na hao wake wengine.
farkhina,
Najua unaogopa kusema tu, ila kiukweli huukubali mpango huo. Ndo maana wengi wenu mnaishia kuwa na msaada huko nje ya ndoa zenu. Ukila vizuri, mwili hauna ugonjwa, unahitaji mwanaume kila siku. Kama yeye anahitaji mwanamke kila siku, hata weye farkhina. Ukweli usemwe, utatuweka huru