kingofyou
Member
- Nov 21, 2013
- 52
- 15
Naomba tujadili pamoja hii kauli.... Kwa mimi nasema tusikashifu dini za watu, kama maandiko yanavyosema ( wewe una dini yako na mimi ninayangu, siwezi kuabudu unachokiabudu na wewe huabudu ninacho kiabudu,. Kwahiyo kila mmoja anaabudu anachokiabudu)
Sasa hapa narudi kwenye uzi,. mwanaume , mwanamke mmoja hakidhi haja za matamanio yake. Ndio maana dini ya Uislamu, imemuagiza mwanaume aoe kuanzia wawili, watatu au wanne na huyo mwanaume Akiwa anahofia uadilifu basi aoe mmoja.
Kwahapo kimaumbile tulivyoumbwa unaona hali ya mwanaume ikoje
*** kidokezo kwa utafiti uliofanywa. kuwa na mke mmoja inafika wakati matamanio yanapungua au unakuta unakung'uta kimoja au viwili, thunalala zako, gemu halinogi kiviile.
Lakini ukiwa na wawili/watatu au 4i hizo nguvu sio mchezo siku tatu huku tatu kule, waacha wewe unakuwa more active hata wake zako wanaenjoy game dakika zote 90.
Haya tuende maoni yenu yana umuhimu.
Sasa hapa narudi kwenye uzi,. mwanaume , mwanamke mmoja hakidhi haja za matamanio yake. Ndio maana dini ya Uislamu, imemuagiza mwanaume aoe kuanzia wawili, watatu au wanne na huyo mwanaume Akiwa anahofia uadilifu basi aoe mmoja.
Kwahapo kimaumbile tulivyoumbwa unaona hali ya mwanaume ikoje
*** kidokezo kwa utafiti uliofanywa. kuwa na mke mmoja inafika wakati matamanio yanapungua au unakuta unakung'uta kimoja au viwili, thunalala zako, gemu halinogi kiviile.
Lakini ukiwa na wawili/watatu au 4i hizo nguvu sio mchezo siku tatu huku tatu kule, waacha wewe unakuwa more active hata wake zako wanaenjoy game dakika zote 90.
Haya tuende maoni yenu yana umuhimu.