Nimeipenda sana sala yako! AminaMungu tunaangamia watanzania kwasabu ya umaskini wetu, wenzetu wana barabara nanne za kuchepuka mikoani ila Sisi barabara inayo tutoa Mikoa isiyo punguwa 20 na inch zisizo pungu 10 ni moja tu. Na magari ni mengi.
.Hawa madereva wa mabasi akili zao sijui zikoje? Sasa kashafika mjini papara za ku overtake hadi kusababisha ajali za nini?!!
Poleni sana but mabasi makubwa ya masafa wana kiburi sana wawapo barabarani
Hawa madereva wa mabasi akili zao sijui zikoje? Sasa kashafika mjini papara za ku overtake hadi kusababisha ajali za nini?!!
Unafikiri ni umasikini wetu basi? ni wa viongozi wetu. Kwa rasilimali tulizonazo hatutakiwi kuwa jinsi tulivyo sasa. Shame on them. Barabara hiyo hiyo malori ya mizigo hiyo hiyo malori ya wide road daladala pikipiki bajaji...eeh.Nimeipenda sana sala yako! Amina
Hatari sana... Leo yamewakuta wenzetu kesho ukashangaa ni sisi tuluobakiYaani kuna foleni balaaa mungu wapokee viumbe wako ulio waita
R.I.P
Mungu tunaangamia watanzania kwasabu ya umaskini wetu, wenzetu wana barabara nanne za kuchepuka mikoani ila Sisi barabara inayo tutoa Mikoa isiyo punguwa 20 na inch zisizo pungu 10 ni moja tu. Na magari ni mengi.
Kwahiyo suluhisho unashauri kipi kifanyike!Unafikiri ni umasikini wetu basi? ni wa viongozi wetu. Kwa rasilimali tulizonazo hatutakiwi kuwa jinsi tulivyo sasa. Shame on them. Barabara hiyo hiyo malori ya mizigo hiyo hiyo malori ya wide road daladala pikipiki bajaji...eeh.