Kimara, Dar: Basi likitokea Dodoma lagongana na Lori; magari yateketea kwa moto

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,072
18,258
Basi la Kampuni ya Safari njema lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Dar es Salama. Limegongana na Lori katika eneo la Kimara Stopover.

Hasara bado haikafahamika.

=======



Kuna ajali mbaya sana imetokea hapa eneo la Suca Mbele kidogo ya stop over ikihusisha lori na Basi T 990 ADF liitwalo Safari njema linalofanya safari zake kati ya Dar na Dodoma linaungua. SASA hivi yanaungua na watu waliokuwemo ndani.
Mtu mmoja amefariki na wengine 20 kujeruhiwa.

View attachment 426700


FB_IMG_1477837647304.jpg
FB_IMG_1477837606603.jpg
FB_IMG_1477837572924.jpg
FB_IMG_1477837542187.jpg
FB_IMG_1477836673407.jpg
FB_IMG_1477837647304.jpg
FB_IMG_1477837606603.jpg
FB_IMG_1477837572924.jpg
FB_IMG_1477837542187.jpg

fb_img_1477836673407-jpeg.426700
 
Hii ajali funga kazi, ni zaidi mateso, ni zaidi ya.kifo, ni zaidi ya ufikiriavyo.

Video inaendelea kutembea whatsap nimeiona it is terrible
 
Kuna ajali mbaya sana imetokea hapa eneo la Suca Mbele kidogo ya stop over ikihusisha lori na Basi T 990 ADF liitwalo Safari njema linalofanya safari zake kati ya Dar na Dodoma linaungua. SASA hivi yanaungua na watu waliokuwemo ndani.
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa.
FB_IMG_1477836673407.jpeg
 
Mafuvu yanapasuka huku watu wakiyasikia.Inasikitisha.
Nasikia dereva wa basi alikuwa anaovertake eneo hilo la gereji ambalo barabara ni nyembamba na magari huwa yanakimbia sana hapo,kuja kustuka lori hili hapa!
Nimeambiwa wametoka watu wachache sana hasa waliokaa nyuma,wengi wameungua humo humo.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom