Video!
Huyo jamaa anayereport kavurugwa sana! Basi analiita ROLI LA Alsaid?
Video!
Tuepuke visingizio vya kipuuzi puuzi.. Tunaweza kutumia vibarabara hivi vilivyopo na tukaendesha migari yetu kwa ustaarabu bila na tukaepusha ajali hizi za kibinaadamu kabisa!Unafikiri ni umasikini wetu basi? ni wa viongozi wetu. Kwa rasilimali tulizonazo hatutakiwi kuwa jinsi tulivyo sasa. Shame on them. Barabara hiyo hiyo malori ya mizigo hiyo hiyo malori ya wide road daladala pikipiki bajaji...eeh.
Bongo bado sana.Fire itoke Upanga huko hadi Kimara?!kwanini kusiwe na fire kila baada ya kilomita kadhaa?mkuu slim5 vp huduma ya kwanza haikupatikana haraka Maana nasikia fire wamefika basi lishamalizika kuwaka.
Kwa moto ule! Hata kama fire wangekuwa mtaa Wa pili bado kupona ni kudogo sana! Halafu ebu fikiria wamefunga mikanda duhBongo bado sana.Fire itoke Upanga huko hadi Kimara?!kwanini kusiwe na fire kila baada ya kilomita kadhaa?
Madereva hawa jamani, watatumaliza!!Hilo basi madereva wake wako rough sana barabara..
Wanapenda ligi hata pasipo stahili ligi..
Zamani walikuwa wanatumia jina Supersonic Safari kabla ya kubadili jina kuwa Safari Njema...
Ndio hapo sasa! Eneo lenyewe finyu kweli hilo!!Hawa madereva wa mabasi akili zao sijui zikoje? Sasa kashafika mjini papara za ku overtake hadi kusababisha ajali za nini?!!