MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,719
- 4,992
wanajamvi ilikuwa haipiti siku au wiki bila kumzungumzia bwana KIDUKU(dodoki) na majaribio yake...lakini toka wenye dunia yao(USA)kuonyesha dhaili pasipo kumung'unya maneno kuwa sasa umefika wakati wa kushusha north korea kwa bwana DODOKI moto ambao haujawai kuonekana toka dunia imeumbwa....mpaka leo hakuna cha majaribio wala ushuzi wa majaribio,hii inaashiria nini kwa bwana DODOKI kajinyea au anajipanga upya?