Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

Huo ndiyo usafirishaji wao wamekuwa wakitumia
Miaka ya nyuma unga watu walikuwa wanaingiza nchini kwa njia ya kumeza
Kuanzia miaka ya 2006 watu wakaanza
Kuleta kwa njia hii

Ova
mmmh hatari sana mkuu ila wafanyabiashara ya unga wana mbinu na akili sana kila siku wanabuni njia mpya za uingizaji nauuzaji ni hatari!
 
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Si ajabu wasishughulikiwe.

Au kesi ikachukua zaidi ya mwaka..
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Kwaiyo hao wamekamatwa chini ya utawala wa basha wako au??ke.nge ww,,uyo magu kafukueni mzoga wake muujaze upepo muuwabudu,, now rais ni Samia mb,uzi ww
 
Pongezi kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Hakika kwa mwendo huu wa kushirikiana ktk kupambana na uhalifu wa aina zote tutafanikiwa.

sasa pelelezeni ili kunasa mtandao wote wanao jihusisha na biashara hii haramu ambayo inaangamiza taifa.

Upelelezi wa kunasa mtandao wa wanao jihusisha na biashara hii ni muhimu zaidi.
 
Hii habari Kuna jamaa mmoja Ni chadema nafikiri alikua anaizungumnzia ilibidi nimcheki tuh
Aisee ufipa Kuna vilaza si utani
 
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin.

Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita

======

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha JWTZ imewakamata watu saba wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zaidi ya tani moja kwa kutumia jahazi. Dawa hizo zimekamtwa eneo la Kilwa Masoko mkoani Lindi.

View attachment 1762634View attachment 1762635View attachment 1762636
Hii biashara haikwisha kama tulivyokuwa tinaaminishwa na BASHITE bali ilikuwa inaendelea hasa ilikolea kipindi cha jiwe.
 
Baada ya Mzee Magu kuondoka sasa watu wameamua kufanya dhihaka na zarau. Tani 2 kweli ndugu zangu?

Enzi za Magu watu kama hawa wangepotea wasijulikane wamepotelea wapi.

Wauza pembe za ndovu walipotea wengine walikimbia nchi. Ukikamatwa mbugani unahojiwa mtandao wako ukoje kisha unapotea na mtandao wako unapotea kuokoa tembo wetu.

Sasa Magufuli hayupo simui kama tembo wetu watapona, sasa twiga watapakiwa kwenye guta ama majaji mchana kweupe badala ya ndege.

Wauza madawa ya kulevya watarudi kwa nguvu kubwa, zile njozi za viatu zitaanza kuning'inia kwenye nguzo za umeme muda si mrefu kuonyesha location ya wauza madawa ya kulevya.
Wacha kuleta uongo biashara hii ilikuwepo sana kipindi cha jiwe ila sema qiantity ndiyo inatisha tu
 
Back
Top Bottom