Mogan Mogan
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 202
- 143
Inasikitisha!!
Wapuuzi hao unaweza kuwa nao urafiki ukashangaa wamemkamata hata maza ako kwa kosa la kijinga kijinga tu, na wanapenda rushwa kweli kweli.Sijui kwenye course zao wanasoma mtaala wa wapi, ni kama wanafundishwa unyama dhidi ya binadamu na siyo usalama wa binadamu. mambo mengine hata wanyama pori hawawezi kuwafanyia binadamu, naona hii ni laana sasa!!
Kwa kweli "".... matendo yao yamekosa utu ""....Malaika Israel ana tawi lake kwa hawa jamaa
Yaaani kama wachawi ...haihitajiki elimu ya chuo kikuu "" kuweza kumtambua " mama mjazito aliyefikia hatua ya Karibu na kujifungua....huwa ana kuwa amechoka mnooo"" halafu sababu zenyew zilizofanya mpaka wamshikilie ni zakipuuzi yaani kitanda kimeshakuwa na thamani kuliko uhai wa mtu ..."" My footHawa porisi binafsi huwa siwaelewi,kwanza unamuwekaje mama mjamzito sero kama si unyanyasaji tu.
Haya wametimiza wajibu wao wa hapa kazi tu,mungu amsaidie huyo mama na kichanga chake!
Itawatokea puani
kiSijui kwenye course zao wanasoma mtaala wa wapi, ni kama wanafundishwa unyama dhidi ya binadamu na siyo usalama wa binadamu. mambo mengine hata wanyama pori hawawezi kuwafanyia binadamu, naona hii ni laana sasa!!
polisi ni hawahawa ndugu,rafiki tunaoishi nao ila wakivaa magwanda wanakuwa tofauti kabisa.Upolisi ni kazi nisiyoipenda, ila nawapenda polisi.
Hivi kipindi kile kasusura ameiba je mkewe au mama yake walikamatwa??
Je wanasheria mnisaidie kuna sheria ya kumkamata mtu mwingine kwa kosa la mwingine mpm umuweke mahabusu?? au ni TANZANIA TU
Labda kampeni hiyo haiwahusu polisiAISEEEE "" ukitaka kujijua kuwa hauna dhambi ....basi fuatilia matendo ya police wa Tanzania....sasa angekufa hapo nje "" wange waambia nini watanzania ""....... Aiseee rasmi leo nimeona uzito wa ile kampeni ya kusaidia mama mjamzito inayofanywa na wizara ya AFYA ....."" police wa Tanzania "" ni wachawi "".....
Aiseeee "" sio wazazi au ..?Labda kampeni hiyo haiwahusu polisi