naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,276
Mtu mmoja anayesemekana kuwa ni gaidi amekamatwa tena hapa kilombero maeneo ya sumbugulu, mtu huyo ambaye anaonekana kutojua kiswahili,ila anaongea kiarabu.
Inasemekana alikuwa akiishi huko mlimani na aliamua kushuka baada ya njaa kuwa kali na kuanza kuomba chakula ktk eneo ilo la sumbugulu.
Hali ya Upelelezi Wa Kitaifa imeongezeka hapa Ruaha Kilombero Kufuatia Matukio Hayo.
Mpinzani wa uislam kazini